Hawa jamaa bado hawajatoa shortlist au ndo ile ONLY SUCCESSIFUL CANDIDATE WILL BE CONTACTED.
jamani huo sio ukweli au inategemea na post but latest updates nilizonazo kutoka kwenye source zinazoaminika tanapa ni kwamba kwa sasa wako kwenye process za shortlisting, applications ni nyingi mno and they have to record each n every application kwenye database. msikate tamaa kama una vigezo utaitwa tuu
Walioanza kazi ni Procurement Technicians tu hao wengine endelea kuwa mpole taratibu za ajira zinaendelea zaidi ya watu elfu kumi wameomba hizo nafasi unaweza ukawaza kazi ilivyo ndefu.ndo maana yake na watu saiv wameshaanza training km c kazi!
jaman me natafta kaz tra, tpa au tpdc kuna mch0ng0 wwte?