Habarini wakuu
Naitaji kwenda geita niko mwanza kutafta kaz kweny migodi na plants cna pakufikia wala connection za vibarua naombeni msaada wa kimaelekezo,connection au kazi.
0694934864
Baada ya kugundua kuna watu wana uwezo lakin wako loneliness,stressed,wanahitaji kuwa na mtu wakuwapa company,kuongea nao, kukaanao,kutoka nao(outings) nimeamua kujitoa kuprovide hiyo service kwa watu wanao hitaji
Services cost zangu zina tegemea na nitakuwa na wewe kwa mda gani.
Nia yangu...
Habari wakuu,
Naombeni ushauri na ushuhuda kama kuna mtu aliyewaikununua tinga tinga robot kwaajili ya kutrade forex kutoka kwa billionaire forex academy
Nina miaka 25,elimu yangu ni secondary baada ya hapo nlienda chouo cha tourism lakin kwa bahati mbaya siku weza kumaliza chuo.
Nilikua na fanya kazi kwa wachina wa bonanza kama dereva mwanza kwa mda wa miez tisa ila kwa sasa maboss zangu wamerudi china.
Natafuta kazi na naomba mnisaidie...
Natafuta kazi,
Mimi nikijana wa miaka 25... Nlikua nafanya kazi kwa wachina kama dereva mwanza kwa mda wa miez tisa.Na kwa sasa maboss zangu wamerudi china.Natafuta kazi ya udereva wa nyumbani,taasisi au dereva wa kukodisha vyovyote
lisence yangu ni class D na B,naendesha gari zote automatic na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.