how can a government be so incompetent kiasi cha kuamua kummaliza mwandishi wa habari kwa kummwagia mikojo ya punda usoni na mwingine kumkata na panga butu.How about mshale wa sumu?kwanza mshale wa sumu unaupiga kwa mbali kwahiyo unapunguza risk ya kukamatwa na kuiumbua serikali.yaani mawaziri...
Ndoto iliisha kwasababu uliiba mchele ndani kwenu ukaenda kujipikilisha kwenye vikopo vya TanBond.
We shy hayo maandishi ya herufi kubwa ni kinyume na ustaarabu wa kwenye intaneti,badilika.
1.mgogoro mkubwa CCM,vigogo kadhaa kufukuzwa unachama.
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali...
we nenda kanywe chai tu huko na kumpigia makofi jk. Halafu tuletee umbea wa kawaida wa hapa kuhusu fanicha za Ikulu, unene wa JK, vikombe vya Ikulu nk.
hiyo shortlisted kwanza imepatikana kwa vigezo gani? We ungeacha uwanja wazi tukachagua wenyewe. Unatuwekea multiple choise kwani sisi mazuzu? Sasa kujibu swali lako, the Person of the Year award is shared by God and Satan. They had a great duel this year with many of God's followers trying out...
Kumrazi kitumbua sio andazi. Shetani kachoshwa na haka katabia ka kila mbongo kuwa analyst kila mbongo politiaion kila mbongo spy kila mbongo mjuaji wa kila kitu matokea yake tunapigana longolongo tu hadi Yesu wenu atakaporudi (na kawapiga fix harudi ng'o). Ili tuendelee tunahitaji kitu kimoja:-...
Laana kuu ya wabongo ni longolongo na woga. Do something ~@$&%! La sivyo kaeni kimya maanayake malalamiko na manung'uniko pekee bila vitendo ni kichefuchefu. Angalau basi jiungeni na CHADEMA ili mijitu mijinga kama Chacha Wangwe ikose kuongoza maanayake kama ndio aina ya viongozi wa upinzani...
waarabu wa pemba....
wewe utajuaje Manji bwabwa kama hajakuomba tako? Jamani hivi Jf imedorora kiasi hiki? Mada za kisomi ziko wapi? Wewe MM Mwanakijiji aka Halisi mnafiki sana. Siku zote unasema mambo ya kula au kuliwa ni mambo private hata kwa kiongozi kama Zito. Leo mgosi wa Tanga mwenzio...
Eti mapambano ya fikra, mapambano ya fikra wakati wanafunzi wanakunywa uji usio na sukari na hawana sabuni za kufua! Nyie mlioshiba ndio mnaongea lugha za mapambano ya fikra. Upuuzi mtupu! Mwanafuzi wa pale Ilboru yeye anataka kufaulu mtihani wake wa form four afanye practicals zake wewe unasema...
Sasa na wewe Mwanakijiji umetuma salamu za mshikamano kama nani? Au kwasababu unapenda publicity? Wewe mtu uko hapo Troy (Birmingham) unatengeneza kitambi kwa fast food halafu unawaambia wanafunzi wanaokula bondo pale Loleza wagome eti wakatae. Wakipigwa mabomu ya machozi all you are going to do...
Mmeshikwa pabaya safari hii mtatafuta majina mpaka kiama. Mwenyekiti wenu naye anaingia na jina la bandia wakati aliwaambia wanachama wake hapa wawe na ujasiri wa kuingia na majina ya kweli akitupiwa kadongo anahamaki.
Sasa wale waliokuwa wanasema Zitto asiingie kwenye Kamati wajitoe CHADEMA ama sivyo nao tuwaite mambumbumbu wa kufuata nidhamu ya Chama. Hapa Mbowe kapigwa bao na huu ndio mwisho wa ndoto yake ya kuwa Rais wa Jamhuri yetu. Watatudanganya viini macho leo kwamba yameisha na CHADEMA iko moja lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.