Pathetic Government?

Shetani

Member
Oct 23, 2007
29
0
how can a government be so incompetent kiasi cha kuamua kummaliza mwandishi wa habari kwa kummwagia mikojo ya punda usoni na mwingine kumkata na panga butu.How about mshale wa sumu?kwanza mshale wa sumu unaupiga kwa mbali kwahiyo unapunguza risk ya kukamatwa na kuiumbua serikali.yaani mawaziri feki,basi hata hitmen wao mickey mouse?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom