Search results

  1. Mkurya mweupe

    Nani anasimama nyuma ya Mwekezaji wa Soko la CCM Katoro Geita?

    Kwanza nipende kutoa shukrani kutokana na maboresho yaliyofanywa na mwekezaji katika kuboresha soko la CCM, Katoro Geita, Changamoto kubwa iliyoibuka baada ya Mwekezaji kushika hili soko ni unyanyasi mkubwa unaofanyika kwa wafanyabiashara wadogo wadogo, ikiwemo; 1. Mkuu wa mkoa wa Geita, ndugu...
  2. Mkurya mweupe

    Siku Maalum ya Usafi na utekelezaji wake

    Nishawahi kutembelea maeneo mengi nakuta kuna siku maalumu ya usafi, mfano mkoa wa Geita huwa wana utaratibu wa kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi ni siku ya usafi, ambapo wiki hii imeamuliwa ifanyike siku ya Jumamosi Jambo linalonishangaza ni kwamba siku ya usafi maduka huwa yanafunguliwa na saa...
  3. Mkurya mweupe

    Uwekezaji katika soko la CCM Katoro, Chama Cha Mapinduzi kimehujumiwa au kinajihujumu chenyewe?

    CCM kama taasisi inayoshika dola na taasisi yenye miradi mingi kulinganisha na taasisi nyingine hasa vyama vya siasa . CCM imempa mwekezaji kujenga soko la CCM kisasa ,kiukwel ni nia nzuri ukiangalia ramani yake linaenda kuwa soko bora na la kisasa ukilinganisha na masoko mengi yaliyopo hapa...
  4. Mkurya mweupe

    Kifo cha Alphonce Mawazo kilifanya niamin mwanadamu ni Mbinafsi kiasili

    Nilikuwepo katika mji mdogo wa Katoro kipindi Alphonce Mawazo anafariki. Nakumbuka kulikuwa na mkutano wa Chadema katika ukumbi, maarufu kama Makungu na hyo siku ilikuwa ni mechi ya Yanga anacheza TP Mazembe. Tukiwa tunaangalia mpira tulipata taarifa kuwa Alphonce mawazo amekatwa mapanga maeneo...
  5. Mkurya mweupe

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ...
  6. Mkurya mweupe

    Tukio /kisa kilichofanya ukeshe usiku kucha bila kulala

    Wana JF ebu tuambizane ni tukio gani lililowahi kukusibu mpaka ukawa na mawazo ukakosa usingizi kabisa ,usiku wa manane ,Kwangu Mimi. 1 .Tukio la kwanza niliwahi kukosa usingizi baada ya kupata kesi ya kumpa mwanafunzi mimba nikiwa mitaa fulani ,usiku huo ulikuwa mrefu sana ,nilisubiri sana...
  7. Mkurya mweupe

    Mgogoro wa soko la CCM Katoro Geita na wafanyabiashara wa soko hilo

    Kutokana na mgogoro ulioibuka wa wafanyabiashara wadogo wa soko la CCM Katoro Geita , takribani wajasiriamali 300 ,wanatakiwa kumpisha mwekezaji mpya wa kujenga soko hilo na kumpisha mwekezaji mpya katika hilo soko .Leo tarehe 11, September ,machinga wa soko hilo wakishirikiana na wajasiriamali...
  8. Mkurya mweupe

    Clinical officer versus Medical laboratory

    Wana JF, Naomba kuuliza kwa sasa course gani ni nzuri kati ya hzo kwenye soko la ajira maana ndugu yangu amechaguliwa clinical officer (Ndolage) na Medical laboratory Bugando. Ipi ni bora ukizingatia soko la ajira kwa sasa. Asanten
  9. Mkurya mweupe

    Ordinary Diploma ya Bugando

    Ndugu wana JF, Niliomba kuuliza Ordinary Diploma zinazotolewa Bugando za afya, zinakuwa chini ya NACTE, yaani namaanisha, wanakuwa na mtihani wa mwisho unaotoka Nacte kama vyuo vingine vya kati, mfano city college, Chato college. Au chuo chenyewe ndo huwa kinatoa kipimo cha ufaulu kwa...
  10. Mkurya mweupe

    Mikopo kwa vyuo vya Kati ilikuwa Siasa?

    Serikali kupitia bodi ya Mikopo waliahidi kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaotakiwa kujiunga na vyuo kwa ngazi ya diploma kuwa mwaka huu wanafunzi hao pia watanufaika na mikopo hiyo, baadae bodi ya Mikopo ilitoa tangazo katika mitandao yake ya kijamii kuwa, utaratibu kwa wanafunzi wa vyuo vya Kati...
  11. Mkurya mweupe

    Soko la CCM Katoro, Geita limeuzwa?

    Nilikuwa maeneo ya Katoro ,soko kuu la ccm, nimeona wafanyabiashara wa eneo hilo na machinga wa soko wakilaumu kuwa wamepewa notisi ya siku 49 kupisha mwekezaji mpya wa kujenga hilo soko, ambae amepewa idhini ya ujenz wa hilo soko bila kupewa ushindani wa watu au wawekezaji kushindania, hivo...
Back
Top Bottom