nafikiri hawa wachina hawaja walipa pesa zao hao tbc1 wachovu,unakatisha tu program kwenye luninga tena ya taifa inaonekana world wide embu badilikeni jamani toeni taarifa huo sasa uswahili.....fools hao wameniudh sana kutukatishia uhondo!
Nimekuwa nikufuatilia kwa ukaribu sana sanaaa taarifa zetu za habari hapa nyumbani tz,Kenya na hata Uganda lakini nika note kitu kwamba kuna mapungufu makubwa sana katika uwasilishaji nikajua ni kawaida kwetu kusingizia bado tupo chini kiteknolojia, lakini nikafanya uchunguzi kwa ukaribu kujua...
habari ndugu zanguni wana j.f nashangazwa sana na majina ya vyamavyetu vya siasa,hivi tunashindwa kutumia majina ya kwa lugha yetu ya taifa,me nahisi niukosefu wa uzalendo,na naona hii ni bado hali ya kutawaliwa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.