Habari za majukumu wakuu,
Naomba kujua mwenye uzoefu na kilimo cha vitunguu, katika eneo la Kondoa au karatu wapi naweza pata faida, mtaji wangu ni tshs 100,0000.
Habari za majukumu wakuu, naomba kufahamu bei ya gunia la dagaa wakavu toka mwanza, musoma au bukoba na gunia ilo lina kg ngapi. Biashara hii nataka kuifanya iringa hivyo naomba kujua na gharama za usafirishaji
Habari wakuu naomba mwenye kujua anisaidie kuwa ni wapi naweza kupata covid 19 certificate? Sababu nataka kwenda nje ya nchi nahofia kupata usumbufu boader
Wakuu poleni na majukumu, natarajia kwenda Njombe au Kilolo kununua msitu wa pine ekari moja kisa kupasua mbao za 2x6 ,2x4 kisha nizipeleke mwenyewe kuuza Babati.
Sasa anayefahamu kwa undani Faida na hasara, changamoto na Mapitio yote kuhusu biashara hii anijuze ili nipate kujua naanzaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.