And... Has the law maker enacted laws specificaly prohibiting necta, or any other person, to place in public newspaper, or a website, public examination results of public or and private school? If yesn there is a case. If no, the is none!
Mkuu, waombe wakupatie bill print uweze kuona matumizi ya hiyo 45k. Halafu jiridhishe kwamba hiyo simu unaitumia wewe peke yako. Yawezekana pia mtu wa karibu yako (spause/family member/close friend) ameitumia bila wewe kujua? Labda huna full control na simu yako?
Lita 18 refil ya Maisha imepanda kutoka Tshs 3800 hadi 5000. Nimeuliza Tsn bamaga wamwsema, kupanda kwa umeme, na kukataa bunge kupitisha punguzo la kodi kwenye maji chupa majuzi vimesababisha.
Huo ndio utekelezaji wa Sera thabiti za Chama. Siku moja tu baada ya maadhimisho ya 35 ya kuzaliwa. Pamoja na ukimya wa mwenyekiti chama .... ukiuliza utajibiwa "ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.