Mfano ipo iyo 2M na tupo watu wawili tunaotaka kufungua company ni taratibu zipi tunatakiwa kuzifata?
na nasikia kuna limited sijui na nini kingine yaani twaweza kupata elimu kidogo kuhusiana na haya maswala
Hongera, hivi vitu vinaitaji ujue unaitaji nini kwani hakuna biashara isiyo na faida wala kazi isiyolipa sema watu ndio wasijue jinsi ya kuifanya ila kila kitu kinawezekana. siaminigi mtu akisema sijui kozi hii ailipi maana ingekuwa ivyo isingekuwepo sema inaitaji ujitafakari ndio uchukue hatua
Kama Umechaguliwa PGM kwa kuichagua wewe kutoka moyoni nenda kasome, Mimi nimeisoma iyo combination katika mazingira magumu sana japo sikufaulu nilivyotaka ila sio kozi ngumu.
Pili kuhusu outcome ya utaenda wapi after hapo angalia roho yako inataka nini suala la pesa weka pembeni then angalia...
Sio kweli, kitu kinacho tusumbua ni fikira zetu za watanionaje au wataniaminije, kopa gas si ilikuwa ya mtanzania kabla ya kuuzwa na kuna propotype kibao zinapewa pesa ila zinapotea, shida ya tanzania ni njaa na ujinga ila sio serikali, nasema ivo maana nipo kwenye kitengo cha innovation na nina...
Hii ndio shida kubwa iliyopo, mimi nipo chuo fulani hapa nnchini na sio kwamba najua vitu vingi sana ila kiukweli wanafunzi tuna visingizio vingi sana, kikubwa huwa tunasema upatikanaji wa vifaa na kingine huwa hatuna shida sana ya kujua vitu kwakuwa wanaotufundisha pia huwa Hawajui, na...
Naomba niongee kidogo kuhusu suala la vyuo na Technology tunayo itaka, kiukweli tanzania ya sasa tumesha haribiwa kiakili, sio kwamba elimu tunayopewa haifai la hasha ila wanaopewa elimu ndio matatizo, dronedrake nadhani utakuwa shahidi kwa upande wa career ambayo upo ni wanafunzi wangapi...
Kiukweli bongo bado tuko na aina fulani ya watu mi nashindwaga waelewa, ila ndio ivo tupambane na hali zetu tu.
Sasa mfano mimi huwa kila siku naingia jukwaa hili nakutana na thread zile zile na maswali ambayo sometimes nachekaga kuwa mods wanakuwaga wapi ila ndio watanzania tulivyo
kwa...
Umeongea vitu muhimu sana mkuu, naomba kuuliza kitu hivi kwani tafiti ni mpaka zifanywe na maprofesa ndio ziitwe tafiti? au kila mtu mwenye uelewa na field flani anaweza ku push
nimepitia website yao inaonekana ilikuwa ni idea nzuri, naona kutakuwa na vitu kati ya viwili vimemchelewesha 1. kuchelewa kupata market au kaona hakuna soko. 2. investment imeyumba, na hii inawakuta wengi sana mpaka makampuni makubwa (lack of fund)
Ahaa samahani sana babu, mimi ni mwanafunzi tu wa kawaida katika nchi yetu hii ya kimaskini kama wanavosema ila kitu kimoja ningependa kusema ni kwamba kwakuwa hatuna vitu au tunaishi katika maisha duni ndio tulemae na kushindwa kupambana na hiki kinachoendelea duniani, binafsi huwa nashiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.