Search results

  1. J

    Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

    CCM unakaribia mwisho! nyerere alisema uking'ang'ania sana uongozi mwisho utaogopa kung'atuka maana makosa yazidi mno- this is what is happening to CCM, inaogopa kung'oka maana wana madhambi mengi! :smile-big:
  2. J

    Tume ya Warioba kutafuna bil. 40/-

    tunapohoji tunastuka kuwa pesa huwa zipo vikitokea vitu kama hivyo,vya ulaji! lakini za madawati huwa hamna! hilo ndio tunaloshangaa!!!!!
  3. J

    Tume ya Warioba kutafuna bil. 40/-

    hapo maoni tu! bado bunge la katiba! watoto wataketi chini mpaka wakome! si wenu lakini wa wenzenu hawana problem!
  4. J

    Kuruka ukuta

    Ili kuingia bure uwanjani kuangalia mechi kajamaa kakaamua kuruka ukuta wa stadium , ile kutua ndani tu, akajikuta katua karibu na afande, ili kuua soo jamaa akamwambia afande " samahani kaka afande wale walioruka ukuta wanakaa wapi?"
  5. J

    Kikwete ni rais bora zaidi ya wote

    hizo sifa ulizoainisha hazipo kabisa katika miongoni mwa kiongozi bora wa nchi, labda labda angekuwa imamu sawa! kiongozi bora ameainishwa katika sifa alizowahi kutaja mwanafalsafa wa zamani wa kiyunani aristotal,alisema " kiongozi bora huotoka katika kundi la watu wenye busara, kwa bahati mbaya...
  6. J

    Kikwete ni rais bora zaidi ya wote

    kwa vipaumbele vilivyoanishwa ndani ya bajeti kuhusu kilimo ni dhahiri kuwa kilimo kitachukua muda kukua hata kama kikiongezewa mamilioni hayo na mengine! kuhusu miundo mbinu kama chachu ya maendeleo natoa tick,lakini kwa kilimo? sidhani! Sababu ni kubwa ni kuwa, msingi mkubwa wa ukuaji wa...
  7. J

    Malumbano ya ccm na chadema juu ya 35%ya bajeti ya maendeleo kutoka domestic revenue

    CHADEMA wamekuwa wakikosoa bajeti kuwa haikuweka 35% ya pato la ndani,katika bajeti ya maendeleo kama ilivyo katika mpango wa miaka mitano wa maendeleo! sio mwaka jana wala mwaka huu.Mwaka jana walisema ulikuwa mwaka wa mpito! CCM wanaitetea bajeti kwa kusema kuwa asilimia hiyo inapatikana kwa...
  8. J

    wote wamechoka

    kiongozi wa nchi moja, alitembelea uingereza. katika maongezi na malkia alimuuliza siri ya mafanikio ya nchi yake. Naye malkia akamwambia kuwa hupima busara za wasaidizi wake, kabla ya kuwateua au kuwaapisha,kwa kuwauliza maswali madogo lakini ya mtego, ili kutoa mfano hai malkia akamwita waziri...
  9. J

    Mlevi aleta gumzo bar baada ya kutoa offa...

    walevi wana mambo bwana! Wengine wawili walikuwa wanakunywa mmoja akatoa kioo kidogo akajiangalia, akamwambia mwenzie "hii sura sura kwenye kioo sio ngeni lakini nimesahau nilipoiona" Mwenzake akampokonya kile kioo, akajiangalia akamwambia " wee umelewa nini, huyu si mimi!!"
  10. J

    Mlevi aleta gumzo bar baada ya kutoa offa...

    mlevi kalewa chakali, hata tundu la ufunguo katika mlango haoni anaangaika kuingiza ufunguo afungue mlango.Trafiki kasimama pembeni anamwangalia mlevi huyu! hatimaye anamfuata na kumshika bega, anamwambia "hebu suburi kidogo bwana,unataka kuniambia una mpango wa kuendesha gari katika hali hii?"...
  11. J

    Majina na Tabia zake

    nadhani hilo neno sio jina! kwani majuto jina neno?
  12. J

    Majina na Tabia zake

    deo bwana, acha wajanja,ukicheza wanakutia ndani!
  13. J

    mwili mmoja

    mume anaingia ndani kutoka kazini na kusema."mke wangu nina matatizo makubwa" "sema tuna matatizo mume wangu sisi tu mwili mmoja" mke anapoza "ok! tuna matatizo mke wangu, tumempa mimba secretary wetu" mume anasema.
  14. J

    Mavazi ya taifa hutengenezwa kwa kamati au ni utamaduni wa jamii?

    Mavazi kama ilivyo ngoma,vyakula,lugha mila na desturi nk ni moja ya tamaduni za taifa au jamii yoyote.Huzuka kutegemea maendeleo ya kiuchumi, kimazingira,kijamii. hayatungwi wala hayapangwi. ukomavu wa taifa ndio hukomaza utamaduni wa jamii.Jamii changa kama tanzania yenye miaka 50 huwezi...
Back
Top Bottom