Kuruka ukuta

JOE58

Member
Jan 27, 2012
14
5
Ili kuingia bure uwanjani kuangalia mechi kajamaa kakaamua kuruka ukuta wa stadium , ile kutua ndani tu, akajikuta katua karibu na afande, ili kuua soo jamaa akamwambia afande " samahani kaka afande wale walioruka ukuta wanakaa wapi?"
 
Ili kuingia bure uwanjani kuangalia mechi kajamaa kakaamua kuruka ukuta wa stadium , ile kutua ndani tu, akajikuta katua karibu na afande, ili kuua soo jamaa akamwambia afande " samahani kaka afande wale walioruka ukuta wanakaa wapi?"

hahahah, wanakalia upanga, kudadadeki,,,
 
Back
Top Bottom