Wakuu... Nimekutana na jamaa online wanauza lens flani hivi ambazo unaweza funga kweny simu yako, kwa hapa bongo nmeona hadi sh 20,000 kama gharama.
Sasa naomba kujuzwa je kuna optimization yoyote ambayo inatokea kama nitafunga hiyo lens kweny simu yangu?
Wakuu mambo vipi?
Juzi juzi nilikua nafanya update ya lg g2 ktoka kitkat kwenda android lolipop, nilifanya manualy kwa kutumia lg flash tool nikaflash kdz ya lolipop, ila baada ya flashing kumalza simu inaishia kwenye logo ya lg tu.
Nimejarbu kwenda kwenye download mode ila shida inakua haiwi...
Wakuu kuna HP pavilion hapa ina tatizo moja, yani pointer sometimes ina move yenyewe bila kuguswa. Sasa nini itakua solution maana driver naona ziko poa.
Wakuu nilikua nataka laptop kwa matumiz mbalmbal ila nmekuta zingine zina nvidia geforce.
Sasa kwa mfano Mimi ni mtu wa PC games kama far cry,NFS,col of duty na mengine hasa racing na games za vita.
Kuna umuhimu wa kununua laptop yenye nvidia au radeon graphic ili kucheza games zangu vizur ...
Wakuu natafuta HP iwe HDD 500,processor speed 2.4ghz,i5 au 7 4th generation, ram 4gb,15 inchez na graphic ziwe nzur tu za kucheza far cry,FIFA hata call of duty.
Mambo vipi wakuu..
Nahitaji laptop nzuri kwa ajili ya matumizi mbali mbali. Sasa nimeziona HP pavilion na hp elite book series, sasa nauliza ni nzuri?
Mimi ni mtu wa internet sana huwa napenda kushusha files kubwa, napenda pia games kama far cry, battle field na call of duty hivyo nafikiria...
Msaada wakuu laptop haina sauti, kwenye icon ya voice imeweka red X.nmejaribu Ku update drivers bado..ila pia nikijaribu kuangalia device manager sioni driver yoyote ya Sauti.
laptop ni Toshiba NB 255.MSAADA WAKUU
Wakuu kam una networklock kweny simu yako ya samsung S series..yaani s1 mpaka s6 basi sasa unaweza toa sim lock bure ndani ya sec 30 tu.
kuna apps iko playstore inaitwa Galaxy s unlock ni ya bure..hii apps inatoa network lock bila gharama yoyote.go and chek it unajieleza yenyew tu jinsi ya...
Wakuu habar.
Nimepata tatizo hapa linaniumiza kichwa..nilikua naweka partion mpya kweny laptop yngu yenye window 8.1. kwa kutumia AOMEI assistant.sasa baada ya kujiprocess nikakuta pc inaleta ujumbe hui.#your pc needs to be repaired.A requred device isn't connected or cant be accessed.
error...
Wakuu naomba msaad jinsi gani nitaweza ku copy crack folder into directory.. Hii ni baada ya kujarbu ku crack idm naambiwa ni copy clack folder to directory.
Sony xperia Z inauzwa .
IPO kweny hali nzuri
android version 4.4.4
black in colour
price 550k
contact 0767879784
picha ntaweka badae wakuu nipo mbali na simu sasa hiv.simu inakuja na ear phone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.