Nimefanya tathimini nikagundua hizi mita za maji hapa Dar ni majanga sana. Yaani hata ukiwa umesafiri bili inakuja ileile na mita inatembea.
Kuna kitu hakipo sawa kwenye mita za maji jamaa wanatupiga. Wanatuumiza sana jamani was galleries tena ufanisi wa mita zao.
Weka na hapa wengine yunahitaji sema hatupendi kupoteza muda kuwasiliana na wafanyabiashara wasiotoa maelezo yakutosha sehemu kama hii ambayo hata haulipii kuweka tangazo! uko wapi aina gan unazo yapatikama kila unapohtaji au la,?, uwezo wako wa kusupply kwa cku kwa mwez nk. Weka ikibidi bei...
Kwan yanapatikana wap mkuu,? ulichimba mwenyewe au ylinunua? maisha magumu bana na hiz biadhara zetu za matunda noma bana yanaoza tu! Co vibaya kama una habar njema ukanipa PM mkuu!
Mkapa alikua mwizi kuliko maraisi wote waloiongoza tz, kikwete anajitahdi kutoa wiz serkalini! ugumu anaoupata jk ni mizizi ya ufisadi iliyowekwa na mkapa! leo jk amesaidia kukutoa mtongotongo ww ili walahu ujue yamayoendelea kwaku yule raisi mfupi alikua hataki ww ujue lolote juu ya wizi wake...
yako mambo mengi ndiomaana nimesema yale ya ziada tunaweza tukazungumza nje ya hapa mkuu! kwa mfano tunaweza tukakubaliana mashine na vifaa vinginevyo vitanunuliwa kwa jina la aliyetoa pesa husika badala ya jina la umoja wetu kama taasisi! hilo ni moja lakini kuna njia nyingi ambazo zinaweza...
sasa unamuuliza nani hapo mkuu? kama mimi ni tapeli jua lazima ntasema co tapeli ili nitete kazi yangu na kama unauliza members wengine nao sizani kama watakujibu chochote zaidi ya kukurudishia swali kwako! chamuhimu kwa mtu mwenye uhitaji tuwasiliane alafu afanye maamuzi kua huu ni utapeli au...
Habarini wote muliopata hamasa kusoma nilichoandika.
Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji linanirudisha nyuma. kwaufupi maelezo ni haya hapa
1. Aina ya biashara tarajiwa ni BUTCHERY SHOP
2. Eneo ni...
Habarini wote muliopata hamasa kusoma nilichoandika.
Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji linanirudisha nyuma. kwaufupi maelezo ni haya hapa
1. aina ya biashara tarajiwa ni BUTCHERY SHOP
2. Eneo ni...
Voda ni wezi sana hata cheka time ni upumbavu mtupu wanakata dakika kakijifanya umezitumia zimekwisha, hawa jamaa wanatuona cc mazuzu! alafu wanatusumbua sana na sms zao za matangazo yaan inbox yote inajaa sms zao za kipuuzi, alafu wamatudanganya kama watoto mara usopoteze nyongeza yako kwa...
sana sana singo, tena me wananiboa sana hawa jamaa wanavyofosi kumuelimisha mtu juu ya utumwa huu! mbaya zaaidi hataki kukwambia anajambo gani la kukwambia eti hadi akusumbue kukupa apointment, hawa jamaa lazima wajue saivi hii biashar imesha fahamika sana cku hizi sema co watu wote wapotayar...
nyinyi watu wa forever living mnapenda kijipa moyo sana kama waumini wa makanisa ya waliokata tamaa! sa kama na nyinyi ni wajasilia mali kwanini munaendelea kuhangaika na bidhaa za wenzenu muda wote bidhaa toka marekani, hamuoni kua huo nao ni utumwa mamboleo!??? yaan unatumika ukiwa unafurahia...
Ni dhahiri kwamba wapinza wamewapotosha wananchi kuhusu gesi ya mtwara na lindi na kusababisha hasara kubwa kwa Taifa, mimi najiuliza hivi kweli Profesa Lipumba ulishindwa kufanya "cost benefit analysis" ili kujua kipi bora kusafirisha gasi au kusafirisha umeme? Nimemtaja profesa kwakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.