Search results

  1. M

    Yule jamaa aliyetokea mabwepande saa 12 asubuhi alikuwa anenda wapi?

    Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.
  2. M

    Signature kwenye cheque ya kutoa hela CHADEMA ni ya nani? Na ipo kwa miaka mingapi?

    Signature kwenye cheque ya kutoa hela account za chadema ni ya nani? Na ipo kwa miaka mingapi? Ni swali tu wana jf
  3. M

    Shirika la bima la taifa sasa linafanya vizuri sana

    Wamiliki wa magari nyumba na mali zingine sasa katieni bima shirika la bima la taifa kwani linafanya vizuri sana sasa madai yanalipwa ndani ya siku 20. Achaneni na vikampuni vidogovidogo mtalizwa
Back
Top Bottom