Habar wanajf,ndugu yangu huwa anasumbuliwa sana na mafua hakila nyama au akipatwa na vumbi,sasa hv anaumwa mafua hakimeka yanatoka na damu na km vpande vya nyama vidogo,msaada plz
asante kwa kunifahamisha,matiti yangu ni madogo na yanapishana bt sio sn yapo hvyo kwa miaka mingi tu la kushoto ni nene na kulia nene kdg bt la kushoto sametime nikiligusa linauma,ila hzo dalili ulizozitaja sina,wakati mwingine linauma nikikaribia kupata hedhi nikimaliza linaacha na linapungua...
mpe juice ya carrot kwa wingi,hata chakula anachokula pia mchanganyie na carrot,ndugu yangu alitumia sn hvyo kwa mwanae alishauriwa,ss hv huwezi kumjua km alikuwa na matege
Nikwambie ummy mpendwa,fata ushaur wa doctoz,na ukiwa unanyoa tumia shaving cream km vle veet zpo nyingi tu kuna ya dry skin na oil skin ww utajua ngozi yako ya vp
helo,ni sehem yake ndo inawasha hasa ya ndani lkn sio ndan kabisa napata ilo tatizo kila nimalizapo kubleed na kwa usafi uwa najitahidi sana,nitumie dawa gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.