Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo.
Hii mistari miwili tu unatosha kukuvua maana Nyani Ngabu
Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma, jana ilifuta kesi ya kupinga matokeo ya ubunge yaliyompa ushindi Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu (Chadema) katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana, kushoto aliyeongozana naye ni mwalimu Samson Mkotya.
Ushindi wa ubunge wa jimbo la Singida Mashariki alioupata...
Hahahaha mkuu nimeipenda sana sentensi yako ya mwisho....hivi sijui ikitokea DC, Mkurugenzi na Meya wanatakiwa kupanda gari moja sajui nani atakaa mbele
anagalia hapa
Public Investments Committee - PIC (Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma)
Public Accounts Committee - PAC (Kamati ya Hesabu za Serikali)
Umsahau kitu kimoja sio chadema tuu...hata huko act..zitto ndio act na act ndio zitto....wengine wote inluding yule prof ni walamba miguuu....yeye ndie alfa na omega wa act
mkuu usidanganyike na uwingi wa watu kwenye mikutano...magufuli arusha alijaza na lowasa akaja akajaza pia....una hakika walio enda kwenye mkutano wa magufu sio walio enda kwa lowasa?
aisee...imani yangu kwa dr slaa inaongezeka mara dufu...hata aitwe dr mihogo au majina yote mabaya duniani hapa mimi sitajali..ukweli utabaki kweli uongo utabaki uongo hata milele na milele.Amina
Utapigeje vita ufisadi huku ukiyaacha mafisadi..hapa sawa nakutuambia unapambana na ujamabazi huku ukiyaacha majamabazi yaendelee kutesa watu...piga vita umaskini kwa kumkomboa maskini....kila kitu ni watu...msitudanyanye kwa hilo..
Ulishampuuza kwa hiyo haina shida...mwache aseme yake ya moyoni....bado tupo ambao tuna muunga mkono hata kwa uchache wetu...hata bunge la 2005-2010 lilikuwa ni bunge la wabunge wachache sana wa cdm lakini impact yake nadhani unajua
Hili swali mbona halijajibiwa?
SWALI(Mayage): Kama CCM mngemteua Lowassa, ungayasema hayo ya kusema unataka mabadiliko?
Jibu: Mimi wakati wote nimekuwa nina matumaini kwamba ndani ya CCM tunaweza kupata watu wanaoweza kubadili hali ndio maana niliamua kupambana ndani ya chama changu tukaenda...
Mkuu nakuunga mkono kabisa....nafsi yangu hainitumi kabisa nimpigie kura Lowassa ingawa nimeipenda chedema kwa mda mrefu sana....nashukuru leo nimepata jibu....kura yangu udiwami cdm, ubunge cdm uraisi nasikitika sana kwamba nitampigia magufuli....kwangu kibaya hiki ni afadhari kuliko lowassa
Kumbe mnajua mgombea wenu hana sifa ya kuwa rais ila kwa sababu mna kiu ya kuitoa ccm madarakani basi liwalo na liwe.....tafadhari msibadili maneno baada ya uchaguzi!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.