Wadau , Nilikuwa na pita njia ya Kwenda kisarawe kutokea Kilvya pwani, nikakuta shule ya Msing ya Tondoroni ikiwa imesambaratishwa na Tinga Tinga chini ya ulinzi mkali wa polisi. Barabara nayo ilikuwa imechimbwa kiasi cha kusababisha usumbufu kwa sisi tuliokuwa tukitumia nyia hiyo muda huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.