Ni Messi tena....
Lionel Messi ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA 2023
Staa wa Argentina na Klabu ya Inter Miami, Lionel Messi ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA 2023 kwa Wanaume akimshinda Erling Haaland aliyeshika nafasi ya pili katika Tuzo hizo zinazoandaliwa na Shirikisho la Soka...
Baadhi ya wasanii imeonekana kuwa wana maisha mazuri sana ila tatizo linaanza wakiugua miongoni mwao wameshindwa kumudu gharama za matibabu kupelekea kutembeza bakuli ili wapate misaada ya kugharamia matibabu yao.
Nimejiuliza hili baada ya kuiona habari ya msanii mr. Ibu wa Nigeria.
Habari Wanabodi,
Nina binti yangu yuko mwaka wa kwanza chuo akiwa na 80% ya mkopo HESLB ila amekuwa shortlisted usaili wa Jeshi la Polisi.
Hivyo naomba mawazo yenu aendelee na Chuo au aende CCP ikitokea amepita usaili?
Natanguliza shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.