Hawakupendi..
Mwanamke anayekupenda na mnajua mnapendana.. raha sana ya Dunia nyingine.. hata masaa mtapata raha hadi mchoke pamoja na kupumzika kabla ya me fine kuendelea na kuendelea eeeeh Kula hakupiti na kulala inavyobidi..
Mapenzi matamu na ya kweli yanatoka kwenye moyo ya wawili kwa...
1. Umepata shida kwa kujitakia.. wewe upo dunia yako sio hii nchi yetu woteee.
2. I guess umamaanisha shida maishani mwako ndio ilikupeleka utoke na mke wa mtu.. wewe ni mariooooooo..
Ila wengi wao.. wanajua walipofuzu kupata leseni.. utafikiri hawapo na chomboncha Moto na pia hawajali maisha yao na haswa ya wengine kabisa. Hatari sana.. inaonyesha nchi yetu ipoje kwenye usalama wa raia wake. Mabadiliko yanawezekana na kunyoosha waheshimu mengi...
😅😅😅Ujingwa upi na wewe!!! Mmepoa kama piritoni.. chadrama futi sita bado hautaki kujiokoa.. pokea 💉💉💉
Acha nianze kuburudika na haya...
Nakanyaga nakwenda.. 2025 huyooo.. na bado.. Tuombeane uzima tuwemo humu kama kawaida.
Makonda oyeee...
Kazi iendeleee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.