Huna sababu ya kuandika masuala ya kidini kwenye mitandao, kwanin hamtaki kujifunza kutoka kwa wenzenu?
Wakat serekari inatumia nguvu nyng kupinga dhana mbovu ya udini ww eti unashabikia kwa kuandika upuuzi. Ushari wa bure, kwenye mitandao ni kama open space hujui nan atafika na kutoka saa...
kunahali ya kusikitisha kama sio kushangaza kwa manes wa moi ninavyo faham mimi muda wakazi ni saa moja na nusu lkn kwenye dressing moi nikinyume wenyewa wanaaza kufanya kazi saa nne wakati mtu unaamka mapema ili uwai kuudumiwa ukafanya kazi zako sasa unajikuta ratiba ime vurungwa sasa kwa hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.