Watu wanacheza kutafuta pesa, kama kuna timu unaweza kumlipa Mane vile anavyolipwa Ulaya wakamsajili uone kama atakataa kucheza Africa.
Watu wameacha ligi yao ya DRC wamekuja ligi ya bongo, sio kuifanya iwe ligi bora bali wamefuata malipo bora kuliko yale ya kule kwao.
Uoe mara ngapi ndugu, ushaoa mda sema umetengana na mkeo na familia yako.
Ondoa msongo, irejee familia yako maisha yaendelee. Hizo kazi unazohangaika nazo pesa unapeleka wapi kama sio kuhudumia hiyo familia uliojitenga nayo.
Warudishe nyumbani halalisha mke kisheria muendelee na maisha.
Umeandika vizuri kama vile wewe huchepukagi. Au ndio mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu.
Ukiona mwanamke amechepuka ujue wewe mwanaume ndio tatizo. Hata ukimwacha ukioa mwingine atachepuka tu maana wewe tatizo lako utakuwa hujalijua na kulitatua.
Kwa kuongezea tu FAKE ni nakala ya kitu halisi ambayo imetolewa bila kibali cha mwenye kile kitu halisi. Mfano ukinunua sony Tv ambayo haijatoka kiwanda cha Sony hiyo tunasema ni Fake. Hata kama ina ubora kama ule wa Sony Og.
Aliweke kwenye sheria ya kodi, sio matamko tu. Tamko halijawahi kubadili sheria.
Ikibaki kama tamko hamtodaiwa kipindi hiki chq awamu ya sita ila ikija ya saba hamna rangi mtaacha kuona
Alama za nyakati ziko wazi kabisa. Kama hujaelewa Tizama Znz. Kisha tizama maandalizi ya sasa utajua 2030 inaenda wapi.
Hata wewe ungekuwa baba na una influence na mwanao keshatoboa hadi hatua ya uwaziri dunia itashangaa ukishindwa kumkalisha kiti ulichokikalia miaka 10.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.