Kwa kipindi kirefu wakazi wa Mtonga Juu Korogwe wamekosa umeme wa Tanesco bila kuelewa sababu!? Ukweli ni kwamba wakazi wengi wa Mtonga juu wamejiandaa siku nyingi kupata umeme wa Tanesco lakini sasa wamekata tamaa. Sijui ni Tanesco makao makuu ndo watuambie lini umeme utapatikana? Halafu kama...
Kwa kweli tigo wanasumbua!? Hivi kama kutuma sms ni gharama, kwa nini wasiache kutuma hizo sms zao ili watupunguzie gharama cc wateja ? Tigo mnakera tena si kidogo. Ninyi mnadhani mnatangaza biashara kumbe mnaudhi wateja!!??
Yaani hii inaonyesha pesa ya kuwalipa Madaktari ipo ila ni kiburi tu cha serikali. Hivi mfano walimu nawo wakigoma ina maana wataletwa walimu toka nje? Lakini kama hiyo ni kweli, mjue kati ya hizo fedha kuna ulaji wa hawo wakubwa- lazima uchakachuaji upo.
Hiyo ipo wazi kabisa pamoja na kuwa ni vigumu kukubali wazi wazi. Kumbukeni mkubwa hakosei kwani hata akitoa hewa chafu anasingiziwa mtoto!! CDM JUUUUU
Kwa mawazo yangu maandamano yafanyike kumpongeza Zitto na si vinginevyo. Kwani hoja aliyoitoa bungeni ndiyo imepelekea kuvunjwa baraza hilo la mawaziri.
CCM mmekuwa waungwana safari hii kukubali matokeo kilaini. Tumpe ushirikiano Nassari wale wa CCM na vyama vingine vilivyoshiriki uchaguzi Alumeru na kuambulia patupu.
Hivi madeni yote ya Walimu yamelipwa Mwezi Januari kama Naibu Waziri wa Elimu alivyotamba? Mbona Walimu wengi wanaodai malimbikizo ya mishahara hawajalipwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.