Gharama nafuu sana kwa maelezo yake hakuweka wazi beibgan ila kwa production kubwa ukianza utapata vtu vingi kwa jumla na bei itapungua sana ila sio kwa bei ndogo kama alivo sema.
Mbona kunajamaa katengeneza bajaj yake na inasimamiwa jino kwa jino inatembea fresh inasubir kupitishwa na tbs. Kila kitu kinawezekana na watz tunaweza sema kama huyu jamaa eti tbs ilimkatali kwakua imepungua cm10. Saiz wanaiongeza kdgo baada ya waziri kuwakomalia.
5g usitake kuichosha serikal yetu vtu vingi bdo sana tuanze kuumiz kichwa na iyo afu acheni kuleta maneno ya kurudishana nyuma eti nerve nn cjui hapahakuna kitu km icho mwil wako hauwez alibiwa n kitu cha namna hii kirahisi ata wao wamefanya research au hawataki kuishi na pia kama shida ipo adi...
Ukitaka faida fanya na ww au weka tracker kwenye usafir wako inasoma rout zote na kijana unamlipa kulinganana na matumizi.. Ukishndwa jua ni uzembe wako kua makin na biashara yako
Yan nmesoma coment za wachache ila naona humu mnalopoka sana akili kdgo mno unafkr kuna atakae weza jenga kitu kwa hela zake za mfukon kwake au unafkr vikodi vyako unavyolipa kwa kuvutana vtaweza kujenga irad mikubwa ndan ya miaka mitano au angesimamisha mirad yote ilioanzishwa ili ajenge yake...
Wa Tz mnataka nn ajira ni tatizo ulimwengu wote tatzo tumejazana mijini afu tunataka ajira ukipewa shamba na babubyako uko kijjn huwez kwenda kulima ww unakaa apa unataka uajiliwe afu ulipwe na mishahara za kodi za watz wenzko wanao pga kaz na kujituma kila kukicha ww umekalia majungu tu apa...
apo suluhu ni itolewe nafas watu wenye uwezo kuwekeza kwenye mabus waingie kwenye ilo soko mbona linalipa sana. tuache majesh yetu yafanye majukumu yao sio kujaza mambo juu yao hata kama wanayaweza. salute kwa majesh mpo vzur.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.