Wengi walionunua bajaji, bodaboda na uber hawakupata faida tarajiwa

Ngwanakilala

JF-Expert Member
Jun 25, 2011
774
1,456
Wanabodi, Heshima kwenu

Nimefuatilia kwa ndugu, jamaa na marafiki wengi waliochukua mikopo na kununua bajaji, Bodaboda au ggari za kufanya uber na kugundua wengi hawakupata faida walioitarajia.

Na ukweli wa mambo ni kwamba biashara hizo ukiazisha na ukafanya mwenyewe meaning dereva ukawa wewe mwenyewe faida ni kubwa sana. Tatizo linakuja pale unapoajiri mtu. Vijana wa kitanzania hawa tabia wala utamaduni wakuheshimu kazi wala makubaliano wala mikataba badala yake karibu wote ni wajanja wajanja na wapigaji.

Please share you experience or opinio
 
Tatizo watu huwa wanafata mkumbo mtu kanunua bajaji mwingine anaiga anahisi yule anapata faida sana bila kujua changamoto za hiyo biashara,wengi naona vibajaji,gari wamepaki juu ya mawe vijana wamevikokolochoa wameenda tafuta mkataba kwingine waka fanye yao tena.
 
Ukitaka faida fanya na ww au weka tracker kwenye usafir wako inasoma rout zote na kijana unamlipa kulinganana na matumizi.. Ukishndwa jua ni uzembe wako kua makin na biashara yako
 
tatizo watu huwa wanafata mkumbo mtu kanunua bajaji mwingine anaiga anahisi yule anapata faida sana bila kujua changamoto za hiyo biashara,wengi naona vibajaji,gari wamepaki juu ya mawe vijana wamevikokolochoa wameenda tafuta mkataba kwingine waka fanye yao tena.


Ni kweli watanzania tuna tatizo kubwa sana la kuiga na kufuata mkumbo. Mtu akifungua saloon basi utaona wengine nao fasta wafungua saloon mtaa huo huo. Hatuna creativity ya kuanzisha new fresh business ventures
 
Ukitaka faida fanya na ww au weka tracker kwenye usafir wako inasoma rout zote na kijana unamlipa kulinganana na matumizi.. Ukishndwa jua ni uzembe wako kua makin na biashara yako


Umenena sahihi kabisa ingekua soka ningesema umecheza kama pele
 
Ukitaka faida fanya na ww au weka tracker kwenye usafir wako inasoma rout zote na kijana unamlipa kulinganana na matumizi.. Ukishndwa jua ni uzembe wako kua makin na biashara yako


Umenena sahihi kabisa ingekua soka ningesema umecheza kama pele
 
wapo waliofanikiwa.. ila ni wenye bahati za kuzaliwa


Ni kweli wapo waliopiga bao. Hawa wamejua jinsi ya kudeal na personnel challenges. Wapo watu wana bajaji mpaka 20 na zinaendelea vizuri. Wengine wana uber mpaka 10
 
Mkuu Nikweli kabisa VIJANA WA KITANZANIA HAWANA UTAMADUNI WA KUHESHIMU KAZI

Nimefungua Office nikamuweka dogo apige kazi ... Mwisho wa siku nikazungukia offisin nikakuta dogo kafunga ... Nikampigia simu Vipi mbona leo hujafungua shida nini ? ... "akanijibu WE SHIDA YAKO NINI ?.. HESABU YAKO YA WIKI ISHATIMIA !!

Aisee nilochoka ... Nikawa najiuliza hivi huyu dogo zinamtosha kweli ... Kwahiyo yeye Hana shida na hela ndo maana kafunga !! Dah Nikafikiria PLAN B ... Niongeze HESABU ya Wiki ...
 
Kukosa faida au kupata faida haigilantee mtu kufanikiwa katika biashara yeyote.

Chakuzingatia fanya kitu ambacho una passion nacho kwisha..
tatizo watu huwa wanafata mkumbo mtu kanunua bajaji mwingine anaiga anahisi yule anapata faida sana bila kujua changamoto za hiyo biashara,wengi naona vibajaji,gari wamepaki juu ya mawe vijana wamevikokolochoa wameenda tafuta mkataba kwingine waka fanye yao tena.
 
Wanabodi, Heshima kwenu

Nimefuatilia kwa ndugu, jamaa na marafiki wengi waliochukua mikopo na kununua bajaji, Bodaboda au ggari za kufanya uber na kugundua wengi hawakupata faida walioitarajia.

Na ukweli wa mambo ni kwamba biashara hizo ukiazisha na ukafanya mwenyewe meaning dereva ukawa wewe mwenyewe faida ni kubwa sana. Tatizo linakuja pale unapoajiri mtu. Vijana wa kitanzania hawa tabia wala utamaduni wakuheshimu kazi wala makubaliano wala mikataba badala yake karibu wote ni wajanja wajanja na wapigaji.

Please share you experience or opinio
Kwa upande wa Bodaboda na Bajaji kama huna muda wa kusimamia mwenyewe kwa karibu, njia nzuri ni kuingia mkataba baada ya muda fulani inakuwa ya kwake, hapo kijana anapiga kazi na hesabu halazi. Lakini ukimpa kwa ajili ya kuleta hesabu, ataikongoroa ndani ya miezi mitatu anakurudishia na kwenda sehemu nyingine kufanya hayo hayo. Binafsi nimefanya hivyo, mpaka sasa nina Boda 4 na bajaji moja, nilianza na Bajaji moja,
 
Wanabodi, Heshima kwenu

Nimefuatilia kwa ndugu, jamaa na marafiki wengi waliochukua mikopo na kununua bajaji, Bodaboda au ggari za kufanya uber na kugundua wengi hawakupata faida walioitarajia.

Na ukweli wa mambo ni kwamba biashara hizo ukiazisha na ukafanya mwenyewe meaning dereva ukawa wewe mwenyewe faida ni kubwa sana. Tatizo linakuja pale unapoajiri mtu. Vijana wa kitanzania hawa tabia wala utamaduni wakuheshimu kazi wala makubaliano wala mikataba badala yake karibu wote ni wajanja wajanja na wapigaji.

Please share you experience or opinio
Bodaboda wape vijana issue ya mkataba.
Utapata kifaida chako na yeye atanufaika. Ndege wawili kwa jiwe moja.
 
Mkuu Nikweli kabisa VIJANA WA KITANZANIA HAWANA UTAMADUNI WA KUHESHIMU KAZI

Nimefungua Office nikamuweka dogo apige kazi ... Mwisho wa siku nikazungukia offisin nikakuta dogo kafunga ... Nikampigia simu Vipi mbona leo hujafungua shida nini ? ... "akanijibu WE SHIDA YAKO NINI ?.. HESABU YAKO YA WIKI ISHATIMIA !!

Aisee nilochoka ... Nikawa najiuliza hivi huyu dogo zinamtosha kweli ... Kwahiyo yeye Hana shida na hela ndo maana kafunga !! Dah Nikafikiria PLAN B ... Niongeze HESABU ya Wiki ...
Kama hesabu yako imetimia, nongwa ya nini? Wacha mwenzio apumzike.
 
Mkuu Nikweli kabisa VIJANA WA KITANZANIA HAWANA UTAMADUNI WA KUHESHIMU KAZI

Nimefungua Office nikamuweka dogo apige kazi ... Mwisho wa siku nikazungukia offisin nikakuta dogo kafunga ... Nikampigia simu Vipi mbona leo hujafungua shida nini ? ... "akanijibu WE SHIDA YAKO NINI ?.. HESABU YAKO YA WIKI ISHATIMIA !!

Aisee nilochoka ... Nikawa najiuliza hivi huyu dogo zinamtosha kweli ... Kwahiyo yeye Hana shida na hela ndo maana kafunga !! Dah Nikafikiria PLAN B ... Niongeze HESABU ya Wiki ...

Hili ndio tatizo kubwa la vijana wetu hawaheshimu makubaliano, wala taratibu wala mikataba. Na wanapenda kupata hela kirahisi rahisi na utajiri wa haraka
 
Kwa upande wa Bodaboda na Bajaji kama huna muda wa kusimamia mwenyewe kwa karibu, njia nzuri ni kuingia mkataba baada ya muda fulani inakuwa ya kwake, hapo kijana anapiga kazi na hesabu halazi. Lakini ukimpa kwa ajili ya kuleta hesabu, ataikongoroa ndani ya miezi mitatu anakurudishia na kwenda sehemu nyingine kufanya hayo hayo. Binafsi nimefanya hivyo, mpaka sasa nina Boda 4 na bajaji moja, nilianza na Bajaji moja,


Uko sahihi hii ndio business model inayo onekana kufaa katika hizi kazi za kuajiri vijana
 
Uko sahihi hii ndio business model inayo onekana kufaa katika hizi kazi za kuajiri vijana
Ni kweli, baadhi ya vijana wa Kitanzania bado hawana uchungu na maisha, unajinyima unananua kitu, unamkabidhi lakini unakuta kuna siku anaamua tu kutofanya kazi au akipata pesa, anaamua kutumia kwanza ziishe ndo afanye kazi au akikamilisha hesabu ya Bosi na ya kwake kidogo saa 10 jioni anaingia bar, anatoka saa 6 usiku amelewa chakari na kupata ajali mbaya sana.
 
Back
Top Bottom