Kisa cha kweli, ni mshikaji wetu twashirikiana kwa mengi. Yupo ndoani yapata miaka zaidi ya kumi. Miaka ya mwanzoni mambo yalikuwa mswano, lakini sasa mchizi anajuta.
Kiaina sio kwamba ana life tafu la hasha, vimijengo kadhaa kausafiri kakumsogeza hapa na pale amejaaliwa, upande wa sabuni ya...
Huna adabu wewe, kama baba yako alimfumania mama yako ungependa kujua!?? Acha na ukae mbali kabisa na ndoa ya wazazi wako. Wanaume huwa sio watu wa kusemasema mambo. Hivyo kuwa makini usijejitaftia radhi bure.😎
Asilimia* *99* *ya* *wanawake* *wenye* *hasira* *wanafeli* *sekta* *ya* *mahusiano*
Je, wewe ni mwanamke ambaye umeachwa na huamini tena katika mapenzi?
Au unaachika kila mahusiano hujui sababu ni nini?
Anyway najua sababu ziko nyingi... inawezekana umekutana na wanaume wasiojielewa lakini...
Brother you are westing your time, kuwa makini sana mwanamke Mara nyingi akicheat huwa anaenda mazima. Maana hawa viumbe huwa wanapenda haswaa tofauti na mwanaume anatamani, anapiga na kusahau nye*** zake zikiisha. Nina true story juu ya mke wa mtu aliyeanza kucheat kwa kulipa kisasi baada ya...
Ngoja ukutwe, hata hivyo kuna watu hawana muda wa kutaka kujua lolote kuhusu mwanamke Malaya, hupunguza ufanisi na huleta umasikini, kama umepata janamke kahaba ni kumwomba Mungu umfume Siku moja na kupiga chini fasta. Binafsi sina muda wa kumfatilia mwanamke.
Leo zoezi la uandikishaji BVR lipo Iringa mjini, watu wamekitokeza kiasi, nimepita Kwenye baadhi ya vituo hali angalau japo kuna malalamiko juu ya kasi ya uandikishaji. MTU mmoja anatumia wastani Wa nusu SAA, Kwa mwendo huu sidhani kama wiki moja itatosha.
Mkuu Mimi ni mpenzi Wa Chadema lakini uwongo Wa hivi ni kujidanganya wenyewe. Hii picha sio Mufindi ni Iringa mjini uwanja Wa Mlandege stand cku aliyokuja Rais Wa mioyo ya watz Dr WP Slaa.
Kupaua nyumba ya sqm 156 Mbao jumla 220 * 7000=154000 Bati za Alafu za kawaida zenye rangi(Migongo midogo) ft 10 pcs 100 @17000=1700000, Misumari ya bati 20kg @2500=50000, Misumari nch 6 kg 15 3000=45000, Misumari nch 5 kg 10@3000= 30,000. Labour charge 1200000. Hapo tunatumia mbao za kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.