Gari kati ya spacio _new model, ist, swift au vits new model na nyingine dizaini hiyo inatafutwa kwa bei husika hapo juu. kama IPO nicheki halafu nakupa mhusika mkuu anayetafuta gari hiyo uongee nae biashara.
Kama ulichagua Makumira basi fanya kupitia ktk website ya chuo uweze kuona majina hayo
The candidates listed below have been awarded admission to TUMA for the 2014/15 academic year. The orientation week for first year students starts on 29th September 2014.
LIST OF PROPOSED STUDENTS 2014/2015
wadau habari zene! napenda kufahamu je kuna kampuni yoyote ile ya mabasi inayosafirisha abiria kati ya mwanza -iringa-mwanza?
kama ipo naomba jujua jina lake. natanguliza shukrani
Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba hapa Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya 70 na waliofariki ni 39 Wanawake kwa Wanaume kwa mujibu wa taarifa mpya za vifo zilizotoka muda mfupi uliopita.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.