Wadau mimi nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda wa miaka miwili sasa, ila tupo mbalimbali yeye yupo Dar mimi nipo Dodoma, nimekuwa nifanya kila linawezekana kumwonesha kuwa nampenda ikiwa ni pamoja nakufuata dar mara kwa mara. mwezi August nilikuwa nae kwa muda wa siku3 nakudate nae...
Jamani wadau naomba kwa mtu yeyote hasa wa maeneo ya Mbeya, Iringa na Singida anipe details kuhusu upatikanaji wa Kitimoto, nataka nianze biashara yakununua kitimoto nakuwasafirisha Dar es salaam.
Wana jf mi ni kijana wa kitanzania natafuta kazi kama vile: kuuza kwenye maduka ya jumla, hardware, supermarket na statiory.
Sifa zangu:
1. Nina umri wa miaka 25
2. Nimehitimu kidato cha6 (HGL).
3. Nafanya kazi kwa kujituma na chini ya usimamizi mdogo.
4. Nina uzoefu wakutosha kuuza maduka...
Najiuliza hivi ni kwanini TZ tumeng'ang'ania kuingiza Mlima Kilimanjaro kwenye maajabu 7 ya dunia wakati tuna maajabu mengi tu zaidi ya huo mlima? Mfano mdogo unajua kuwa TZ ni nchi ya kwanza kutoa wanafunzi wa darasa la saba hawajui kusoma nakuandika ila wanafaulu mtihani. Hii vipi wadau...
Hata ukiacha taasisi nyeti mkuu, mfumo wa TZ ni full ufisadi iwe taasisi nyeti au yakawaida, juzi juzi graduate takribani 1500 waliitwa kwenye interview ya upolisi, chakushangaza walichukuliwa watu 250 katika mazingira yakutatanisha wakiwemo wazanzibari wote waliofika kwenye interview regardless...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.