Kwanza nianze kwa kutoa pole kwa wafiwa woote wa ajali ya gati la Lucy Vicent. Mungu azilaze roho za wote mahali pema.
Katika uzi huu sina nia mbaya ya kumsema mtu au kusmea biashara ya mtu. Kengo ni kusaidia jambo kama hilo lisitokee kiuzembe. Nitatoa mfano mmoja hai. Pale Kasulu kuna shule...
Nimeshangazwa na kitendo kilichotokea cha mkutano wa CUF kuvamiwa na watu waliovaa maski na wnye silaha za moto chenye waandishi wa habari. Cha kushangaza zaidi watu hao hawajakamatwa na hakuna lolote lililofanywa na polisi.
Kwanza hawa si ndio wanaua polisi kibiti? Wanepata wapi silaha na...
Kwa yaliyotokea leo ni dhahiri kuwa wasanii wahusika ndio wanachochea saaaana kuendelea kuwepo kwa matukio ya wasanii na wengine kutekwa, kupigwa na kupotezwa lakini cha ajabu utasikia maisha yangu yapo matatani.
Mtu umetekwa umepigwa hujafanya kosa badala ya kuja hadharani na kusema ukweli wa...
Kwa yaliyotokea leo ni dhahiri kuwa wasanii wahusika ndio wanachochea saaaana kuendelea kuwepo kwa matukio ya wasanii na wengine kutekwa, kupigwa na kupotezwa lakini cha ajabu utasikia maisha yangu yapo matatani.
Mtu umetekwa umepigwa hujafanya kosa badala ya kuja hadharani na kusema ukweli wa...
Kwa uelewa wangu mdogo najua state au nchi ina mihimili yake mitatu ambayo inajitegemea na kujisimamia bila mwingine kuingilia utendaji wa mwingine.
Mihimili hii ni Serikali, Bunge ambalo husimamia serikali na kutunga sheria na wa tatu ni mahakama ambayo hutafsiri sheria.
Nashangazwa na...
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa;
Awe na Umri usiopita miaka 26
Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
Awe na tabia njema na asiwe na tamaa mbaya
Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo...
Ofisi za WLAC kasulu ni jipu kubwa sana na ndio chanzo cha ajali ya magari mawili waliyopewa na UNHCR walitangaza kazi nafasi za udereva, wakafanya usahili kwa madereva wazoefu, matokeo yake wakatoa ajira kwa watu wawili ambao wa kwanza hakuwa dereva, alikuwa na leseni na idea ya kuendesha gari...
Kuna juhudi kubwa sana zinafanywa kuhakikisha Magufuli anaibukia ikulu, kumbuka ukifanikiwa kuingia ikulu lazima utawalipa fadhila na hili litakugharimu kama lilivyogharimu utawala uliopo madarakani sasa.
Kuna watu utalazimika kuwaonea aibu na kuwapa uongozi kwani ndio wamekuweka hapo ikulu...
Kaijage uko wapi. Umeshuhudia ujinga uliokuwa unaufanya wa act. Uliambiwa act ni tawi la ccm ukakataa. Leo mna wabunge wangapi. Madiwaji je. Matusi mliyokuwa mnatoa yamesaidia nini. Jiungeni na ccm sasa
Mjadala wa leo na jana jioni ni wenye heshima, wabunge wengi wapo kinya kama wananyolewa. Wasomi tu ndio wanaongea. Wabunge wasomi wa CCM wanamshambulia Lissu ili washinde jambo lililo wazi kabisa. Hata mwalimu wa Lissu nae anafundishwa sasa.
Hilo sishangai, wamejiingiza kwenye siasa...
Wakuu salaam, mrisho ukipita hapa naomba majibu, vipi huna neno lolote kwa mjomba maana ndio anaondoka hivyo, katika kipindi mjomba alichoachiwa familia aiagalie kuna mambo mengi sana yamefanyika, mazuri, mabaya, mabaya sana sasa upo kimya. Tafadhali sema neno. Hata adela pia una la kumwambia...
Hainiingi akilini eti muhongo aitishe waandishi atangaze kujiuzulu na kisha baada ya masaa machache rais atangaze waziri mbadala. Aliogopa kumfukuza? Alijua nini kinaendelea na kushauri maana huu ni mchezo ambao umepangwa kabisa, kuna kitu kimejificha hapa rais anakijua na anakificha...
Wakuu habarini, nauliza tu kwa wenye ufahamu hivi mikataba iliyosainiwa juzi kati huko China na rais Kikwete pamoja na mawaziri alioambatana nao, na wakuu wa wilaya pia je Watanzania wanaijua,
Wabunge wetu wanajua masharti yake? Iliwahi kujadiliwa mahalu au ni maamuzi tu ya mtu kutoa dhahabu...
Nimepata habari kuwa sasa hivi kuna mkutano wa machari na baba yake mzazi huko Kigoma na baba yake amekana kupigwa. Walioko Kigoma kasulu tupeni habari
************************
Hii sijui imekaaje, ni sheria zetu mbovu au kuna jingine zaidi. Wale polisi waliokuwa wamefungwa kwa kosa la kuua mwanakijiji wa Jimbo la kasulu vijijini wameachiliwa huru huku wakiwa wamekaa gerezani miaka 2 tu. Hii ni sawa? Wenye uelewa wa sheria naomba mawazo yenu, kwani wote 7 wameachiliwa...
Ninao ushauri kidogo kwako waziri mkuu wa Tanzania. Unaweza uuzingatie au uuache lakini lengo ni kulinda heshima yako. Waziri mkuu sio maswali yote unayoulizwa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa hapo yanajibika kwa wakati huo huo. Kuna mengine huwezi kuyajibu hadi utulie, upate uelewa wa...
Kwa jinsi mfumo wa nchi yetu kamwe wahusika wa bomu arusha hawatatajwa wakijulikana. Watakamatwa wengine ambao hawahusiki. Serikali inalindwa sana, ndio maana kuna uwepo wa DPP, mwanasheria mkuu wa serikali, na wengine. Hawa kazi yao ni kuangalia jambo lipi linaifunua serikali kisha wao...
Nimeshangazwa na kitendo cha leo cha mwenyekiti kikao cha bunge bwana Zungu kusimama huku akitoka povu kutetea serikali kuwa haibalance mambo. Je yeye ni serikali au bunge! Kafulila katika mchango wake alisema serikali imekuwa ikifanya mambo kwa woga kwa kubalance vitu, mfano ikifungia kituo cha...
Wakuu nimedondosha Ipad kutoka kitandani kwa bahati mbaya, ilizima na nilivyoiwasha haikuwaka tena naombeni msaada nini cha kufanya hapo.
Natanguliza shukrani zangu:yo:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.