niuzieWakuu nimedondosha Ipad kutoka kitandani kwa bahati mbaya, ilizima na nilivyoiwasha haikuwaka tena naombeni msaada nini cha kufanya hapo.
Natanguliza shukrani zangu:yo:
Wakuu nimedondosha Ipad kutoka kitandani kwa bahati mbaya, ilizima na nilivyoiwasha haikuwaka tena naombeni msaada nini cha kufanya hapo.
Natanguliza shukrani zangu:yo:
1.hold and push the ON button and HOME button altogether for about 5 secs
2,kama haijakubali try to connect it with usb kwenye pc