Mmiliki wa machinjio ya nyama Vingunguti anayechinja zaidi ya ng'ombe 500 kwa siku ambaye anatoza sh4300 kwa kila ng'ombe na mgawanyo uko kama hivi: 1500 ya mmiliki, 300 ya mchinjaji na 2500 kwa mkusanya hela wa halimashauri.
Kwa hesabu za haraka mfanyakazi wa halimashauri anapokea kiasi cha...
Mmiliki wa machinjio ya nyama Vingunguti anayechinja zaidi ya ng'ombe 500 kwa siku ambaye anatoza sh4300 kwa kila ng'ombe na mgawanyo uko kama hivi: 1500 ya mmiliki, 300 ya mchinjaji na 2500 kwa mkusanya hela wa halimashauri.
Kwa hesabu za haraka mfanyakazi wa halimashauri anapokea kiasi cha...
Nani wahusika wakuu katika swala zima la kupitisha madawa ya kulevya katika uwanja wa ndege?
Jeshi la Polisi?
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania?
Shirika la huduma za mizigo yani Swissport?
Wafanyakazi wa mashirika ya Ndege?
Nani muhusika mkuu hapo? Maana hao ndio watu wanafanya shughuli...
Ukifika kituoni Mwenge hususani wakati wa asubuhi yanapokuja mabasi ya kwenda Posta unaona jinsi watu wanavyo kimbilia ili kupata nafasi za kukaa. Cha kushangaza zaidi ni wale abiria wanaokuwa wa kwanza kugombania siti alafu anashuka Bamaga, Sayansi, Makumbusho, Victoria na wengine hata ITV...
Status 1 ikiwa ndefu hawasomagi, ila mtu huyo huyo atasoma fupi fupi mia!:
Mnisamehe kama ntakuwa mkali kidogo, ni hivi, kama kilicho ndani ya nyumba thamani yake haifiki laki, nawe una milango miwili, huwezi enda nunua kufuli mbili za laki laki. Kimantiki, gharama ya ulinzi (laki mbili za...
Hii ni timu ambayo imekuwa na mafanikio makubwa kimchezo wa soka nchini. mechi zake ni moja ya mechi zenye mapato makubwa kutokana na viingilio. ni timu ambayo inapata hela nyingi sana kutokana na mikataba ya usajili kutoka katika makampuni makubwa nchini.
Lakini hii timu na ile nyingine ya...
Kichwa kimeanza choka, ebu niwaze Taifa...
1. Taifa ambalo binti zake wakimwona Mzungu wanadhani ana ela.
2. Taifa ambalo ukiongea kiingereza unaonekana umesoma.
3. Taifa ambalo bank haikutafuti we ndo unaihonga ikukopeshe.
4. Taifa ambalo ukifeli unakuwa mtangazaji wa kipindi maalumu kabisa...
Wakazi wa Mbezi Beach chukueni tahadhari kutokana na ujambazi kuanza tena. Hivi karibuni kumekuwa na matukio mawili tayari maeneo ya Mbezi Beach Makonde ambapo duka limevamiwa na jamaa kupiga hela na kukombia na pikipiki.
Wale wa kutembea na kurudi majumbani kwao usiku wa manane pia wawe...
Huyu ni mmoja kati ya vijana wanajishughulisha na saana za muziki wa kizazi kipya, bongo movie na pia ni bloga. Hii picha ni yake akiwa anaendesha gari kwa spidi ya 180 na kapiga picha kisha akaweka kwenye mitandao ya kijamii kwa kujipongeza.
Kuna akili kweli kichwani? Hawa ndio wanataka kuwa...
Raisi Kikwete wakati ana badili jina barabara ya Old Bagamoyo kuwa Mwai Kibaki sherehe ilifanyika morocco na kumalizikia hapo hapo. Lakini sasa hiyo barabara haifai. Maeneo ya TMJ hospital ni kero. Barabara ni mbovu mno na ni aibu kwa kweli. Foleni kubwa inasababishwa na kipande hicho. Mashimo...
Mkurugenzi wa Vodacom Rena Meza na Kelvin Twisa wafanya video ya Harlem shake.Bofya link hii Vodacom Tanzania - Harlem Shake - YouTube heheheHawa jamaa noma!
Naomba kuuliza wana jf.
Nani kati ya hawa ndio mpiga picha wa raisi na shughuli za ikulu? Maana kila aendapo raisi michuzi yupo wakati katika picha zote linatokea jina la bwana Fred Maro. Au bwana michuzi yeye anagharamia safari yake mwenyewe?
Asanteni.
Naomba kuuliza wana jf.
Nani kati ya hawa ndio mpiga picha wa raisi na shughuli za ikulu? Maana kila aendapo raisi michuzi yupo wakati katika picha zote linatokea jina la bwana Fred Maro. Au bwana michuzi yeye anagharamia safari yake mwenyewe?
Asanteni.
Ndugu yangu tatizo linakuja ni pale watu wana puuza habari kama hizi. Huyu jamaa hana hata muda wa kuelewesha umma kwa nini maamuzi kama hayo yalifanyika.
Na vile vile bado kuna watu wengi sana wana mpa support hapa nchini. Its a shame kwa kweli. Huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.
Madai yake ya...
Waziri Dr. Charles Tizeba makamu wa Mwakyembe ambaye amekuwa akiishi katika hoteli ya nyota 4 ya New Africa aondoka baada ya bili kufikia milioni 100.
Hiyo ni bili ya malazi na mlo wa asubuhi tuu achana na buffet na vinywaji!
Jamani huyu waziri ni mzalendo kweli wa kuishi hotelini hadi kufikia...
Wizara ya Mwakyembe haikuwashauri Tazara kuhusu utumizi wa treni pamoja na reli yao.
Upande wa Zambia wanadai kuwa kutopewa taarifa kuhusu mradi ni kosa.
Tazara inamilikiwa na nchi mbili hivyo mazungumzo yalikuwa na ulazimu.
Wizara imetumia milioni 800 kukarabati vichwa vya treni za...
Leo ndo ufunguzi rasmi wa michuano ya olimpiki mjini London. Tunawakilishwa na wanamichezo 6 pamoja na maofisa tele huko London.
Mtanzania aliye nyumbani na asiye na king'amuzi cha dstv imekula kwake kwani hakuna hata kituo kimoja cha ndani ya nchi kinarusha mashindano hayo moja kwa moja. TBC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.