supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Naomba kuuliza wana jf.
Nani kati ya hawa ndio mpiga picha wa raisi na shughuli za ikulu? Maana kila aendapo raisi michuzi yupo wakati katika picha zote linatokea jina la bwana Fred Maro. Au bwana michuzi yeye anagharamia safari yake mwenyewe?
Asanteni.
Nani kati ya hawa ndio mpiga picha wa raisi na shughuli za ikulu? Maana kila aendapo raisi michuzi yupo wakati katika picha zote linatokea jina la bwana Fred Maro. Au bwana michuzi yeye anagharamia safari yake mwenyewe?
Asanteni.