Search results

  1. M

    Ubaguzi na hali duni ya maisha kwa jamii ya watu weusi

    Habarini wakuu. Leo nilikuwa naangalia makala ya Africa News Channel YouTube ilikuwa inaelezea ubaguzi na hali duni ya maisha wanayokumbana nayo ya jamii ya Wairaq weusi. Nikagundua kuwa katika nchi nyingi watu wenye asili ya Africa huwa ndio wanaokuwa masikini kuliko makundi mengine...
  2. M

    Waliopiga Kura ya HAPANA kwa Rais Samia ni mmoja au watatu?

    Jana wakati wa matokeo ya uenyekiti kura ya hapana ilikua ni moja. Ila leo aliposimama Rais Dkt. Shein ambaye alikuwa akisimamia zoezi la uchaguzi alisema alishangazwa na WATATU waliopiga Kura ya hapana, akesema ni haki yao kidemokrasia. Sa which is which
  3. M

    Kwanini Utumishi wanachukua muda kuita watu kwenye usaili LGs na MDs?

    Habari wakuu. Ni mwezi wa nne Sasa tangu utumishi watangazi ajira kwa kada tofauti katika LGs and MDs Ila hadi mwezi huu hawaja ita watu kwenye saili. Tatizo ni utumishi kuwa na watumishi wachache au ni kukosa accountability kwenye kazi zao?
  4. M

    Ziara ya Makamba imejaa propaganda tu

    Waziri Makamba anaonekana akifanya ziara mikoa ya Kanda ya ziwa, akiwa na lengo la kutoa elimu ya nishati. Lakini ukichunguza vizuri ziara hii ina agenda zaidi ya kinachofanyika. Ukichunguza vizuri lazima utafahamu lengo la ziara hii ni kujitafutia umaarufu na kujisafisha katika mikoa...
  5. M

    Suala la Loliondo ni muendelezo tu(halijaanzia mwaka huu)

    Wednesday, 30 December 2015 OBC - Hunters from Dubai and the Threat against 1,500 km2 of Maasai Land in Loliondo It’s been some time since I wrote a summary about OBC and the 1,500 km2, a lot has happened, and there has been much misinformation, mostly from government and “investors”, but...
  6. M

    Msaada: Namna ya ku-upload CV kwenye website ya World Vision

    Habarini viongozi, Naomba kama kuna mtu YEYOTE anefanya au aliewahi fanya kazi na World Vision anielekeze namna ya kuupload CV kwenye website yao ya ajira.
Back
Top Bottom