Habarini wakuu.
Leo nilikuwa naangalia makala ya Africa News Channel YouTube ilikuwa inaelezea ubaguzi na hali duni ya maisha wanayokumbana nayo ya jamii ya Wairaq weusi. Nikagundua kuwa katika nchi nyingi watu wenye asili ya Africa huwa ndio wanaokuwa masikini kuliko makundi mengine.
Nikafikiria documentary nyingine ya jamii ya Wasidi ya India, nikagundua hali yao ni duni vilevile na wanatengwa na Wahindi wengine.
Marekani ambayo ni diverse society, race maskini kuliko zote ni race ya watu weusi.
Zamani nilidhani watu maskini weusi wapo Africa tu, ila baada ya kuexperience maisha ya watu wa Haiti, nikabadili mtazamo.
Swali nisaidieni majibu: Kwa nini kila sehemu duniani watu weusi ndio huwa maskini kuliko race zingine na huwa wanabaguliwa kuliko makundi mengine?
Na sababu haswa ya hali hii ni nini?
Leo nilikuwa naangalia makala ya Africa News Channel YouTube ilikuwa inaelezea ubaguzi na hali duni ya maisha wanayokumbana nayo ya jamii ya Wairaq weusi. Nikagundua kuwa katika nchi nyingi watu wenye asili ya Africa huwa ndio wanaokuwa masikini kuliko makundi mengine.
Nikafikiria documentary nyingine ya jamii ya Wasidi ya India, nikagundua hali yao ni duni vilevile na wanatengwa na Wahindi wengine.
Marekani ambayo ni diverse society, race maskini kuliko zote ni race ya watu weusi.
Zamani nilidhani watu maskini weusi wapo Africa tu, ila baada ya kuexperience maisha ya watu wa Haiti, nikabadili mtazamo.
Swali nisaidieni majibu: Kwa nini kila sehemu duniani watu weusi ndio huwa maskini kuliko race zingine na huwa wanabaguliwa kuliko makundi mengine?
Na sababu haswa ya hali hii ni nini?