Pwani, Bagamoyo na Morogoro wapi naweza ng’ombe wa maziwa wakuuza?
Wengi naona ni janda za juu na kaskazini.
Nipe location au contacts kwa anaejua please!
Asee daah muda umepita sana kwakweli, YES kwakweli na nshukur Mungu sana nilipona . Tena bila kutumia dawa yeyote ! Nilijagundua miaka mingi nimeteseka kumbe ni BIA ZA BARIDI ndio zilikuwa zinasabisha yote nlipo acha tuu basi nikapona 😁
Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.
Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa...
Nani anawadanganya subaru hazina mafundi, ulisha enda pale kinondoni 0-60 garage ? Viti kuwa chini kuna tatizo gani? Au wewe ni mfupi sana, jua pia kiti kuwa chini inakupa stability barabarani kama gari ni nyepesi. Spare za subaru ziko kila kona, spare gani umetafuta ukakosa?
Yawezakana hata...
Niliwaambia onana alicheza ligi ya Rwanda haina nguvu kama ligi yetu .. ni kawaida saana.. mpaka sasa simba hatuna mshambuliaji kiongozi ambae anaweza fungu eneo lolote au eneo gumu kama alivyokuww Mayele.. we need bully striker hata 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.