1.Beki kisiki wa Simba Che Malon Fondo anatarajiwa kuondoka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu na kujiunga na mojawapo ya klabu katika nchi moja ya kaskazini mwa Afrika
2.Kiungo mshambuliaji wa Simba Clatus Chota Chama ambaye mkataba wake unamalizika mwishoni mwa simu huu hajaanza mazungumzo...
leo kocha apumzishe kikosi cha kwanza hasa wale wale waliocheza mechi ya Mazembe napendekeza kikos hiki kicheze
1.Metacha
2.Bryson
3.Kibwana
4.Baca
5.Doumbia
6.Mauya
7.Ambundo
8.Sureboy
9.Mzize
10.Ngushi
11.Farid
FIFA imezifungia klabu zote na timu ya taifa ya Urusi kushiriki michezo yoyote ya kimataifa ya mashindano au ya kirafiki kwa hiyo labda wanacheza na timu ya Kinondoni Moscow.Ikibainika Simba imecheza na timu kutoka Urusi TFF na Simba zitachukuliwa hatua kali sana na FIFA iKIwemo kufungiwa au faini.
huyu kocha mpya alipwe mshahara sawa na aliokuwa analipwa Mgunda siyo apewe mshahara mkubwa kwa kuwa yeye ni mzungu,tumeshakubaliana watanzania walipwe sawa na wageni,Fei Toto ametufungua macho sana!
Heshima kwenu wakuu.
Kama tunavyojua wote, Spika wa Bunge Tulia Ackson ni mwanachama na shabiki lia lia wa Simba Sports Club.Mh Tulia pia ni mbunge wa Mbeya mjini na ni mlezi na mafadhili wa Mbeya City FC lakini mapenzi yake yamelalia zaidi kwa Simba kuliko Mbeya City.Hivyo basi mechi ya leo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.