habari wana JF?
Kutakuwa na mdahalo Wa wanafunzi wa vyuo vikuu utakaofanyika katika Chuo Cha Uhasibu(T I A).
Mdahalo huo utakuwa na mada isemayo;Kwa hali halisi ya TANZANIA Je kuna haja ya wanafunzi wa Vyuo vikuu kutumia Uniform?
SIKU:JUMAPILI;TAREHE 22/04/2012.
MUDA:SAA 8:00 MCHANA
MAHALI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.