Madaktari bingwa kutoka tanzania,china na ujerumani walikutana kuelezea mafanikio ktk nchi zao. Akaanza daktari wa ujerumani akasema kwetu alizaliwa mtoto hana miguu tukamuwekea ya bandia na sasa ni mwanariadha maarufu na anamedani tatu za dhahabu, dr.kutoka china akasema kwetu alizaliwa mtoto...
Jana jioni katika taarifa ya habari ITV nilimsikia Nape akisema "hata akibaki peke yake CCM haitakufa" nika baki na maswali kichwani je, yeye ni miongoni mwa waasisi wa chama, au kashaona kuwa viongozi wote na wana CCM Wote wako mguu nje mguu ndan ktk chama hicho kuwa mda wowote wanaweza...
Wana Jf naombeni kuuliza hivi wale walio fanya aplication za kujiunga na jesh la jkt wameshaanza mafunzo, pia watakaa mda gani hadi kujiunga na JWTZ tena?
Kadri siku zinavokwenda ndivyo hali inavyokuwa tia maji tia maji katika jimbo la ismani kwa mheshimiwa Lukuvi kuanzia kijijini kwake Idodi na maeneo mengine jimboni humo. Tatizo kubwa linalozidi kuwa sugu kila kukicha ni maji ambapo vyanzo vyake vinazidi kukauka kila kukicha, na miundo mbinu...
Utamfananishaje kimajukumu zitto ambae ni naibu katibu ambae pia ni waziri kivuli na godblec lema aliyekuwa mbunge na sasa kapeawa majukumu ya kuimarisha chama so muacheni afanye kazi yake he know what he doing.
Kuna vijana wanaharakati wasomi Frays sanga na mohamed Hamza pamoja na wengineo walishapanga kuchukua jimbo kwa kuwa ushatia nia karibu sana mama 2takupa support ya kutosha na kukufichulia madudu ya viongozi wa ccm kuanzia wenyeviti wa vijiji watendaji wao madiwani hadi huyo lukuvi karibu sana.
Sory au ana mimba....!!?coz sura yake na yeye mwenyewe huwa sielewi yupo specie gani mpaka huwa inafika mahali naanza kuhisi labda specie yake ilisha potea au yupo kwenye species za mimea maana...duh!!
Kujiuzulu peke yake haitoshi kwan wameshatuibia na kujilimbikizia mali na rasilimali za uma hivo wana uwezo wa kuishi hadi kufa kwao kwa mali na fedha walizojilimbikizia kwa kutuibia wananchi, hivyo licha ya kujiuzulu wafilisiwe kwanza then wachukuliwe hatua za kisheria mbweha wakubwa hawa!!
Ni aibu kubwa kwa jeshi la polisi, pia mkome kwani hii ndo faida ya kunyenyekea na kusikiliza kundi la watu wachache wenye itikadi fulani kwa ajili ya tamaa vijipesa vichache na vyeo, kwa maslahi yao binafsi na kuwafanya wawatumie kadri wanavyotaka na bado watawashika hadi ******.
Hili la zito na mdee kwa lulu ndo lmekuuma, mbona huhoji la kikwete kuahirisha ziara yake nje ya nchi ikiwa huyuhuyu ndo alieondoka kwenda nje ya nchi akiacha mgomo wa madaktari ukiendelea nchini na kusababisha vifo vya wengi wasio na hatia?
U never know hii siasa brother, kwani hata lile kundi lililo mpigia debe asipitishwe uspika bado halina nguvu ya ushawishi kumuweka mgombea wa mtakao kutokana na uwepo wa makundi miongoni mwao, na ikiwa cc ndo wapiga kura wanaweza vp kumzuia?
Cha ajabu ni kipi unachojiuliza mabalozi 12 kuhamia cdm? Mwulize 6 na wakubwa wenzie wanasubiri yakutokea ktk ccm wapate sababu ya kujirasmisha cdm, na tayari kadi wanazo. Eboh chezea peoplz power wewe!!
Kweli waswahili walisema sura sio roho, yaan huyu jamaa sura yake yakutishia watoto wasumbufu na mambo anayofanya ni tofati, coz haya mambo ili bidi tuyackie kwa mke wake au wanae wa kike, sasa kwa mantiki hiyo sijui mume nani mke nani katika familia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.