Mbona alipokua Katavi soko halikuungua Moto? na je mbona masoko hua yanaungua maeneo kibao hii nchi kuliko hizo sehemu tatu ulizozitaja je huko nako hua anakuwepo? Ni jambo tu la kawaida?
Sisi wa Isakalilo, Zizi, Mwangata, Njia Panda, Mwisho wa Lami, Mlandege, Samora, Highland, Mshindo, Miomboni, Posta, Retco, Tanesco, Sabasaba, Lugalo, Kwa sambala, FFU, Kichangani, Majembe, Kihesa Sokoni tulijua upo Nederland
Sio walau nina hoja, bali nina hoja...nikishasema key persons kwenye your research it means hutachukua mtu toka Majohe au Tandale ili aweze kukupa data...utamchukua mtu kutoka Majohe mwenye features/title/status/proffesional/ ambayo itaweza kukufeed raw data ambazo zipo sahihi...nazungumzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.