Nilisoma Tambaza SS jirani na Muhimbili PS tulikuwa tunasikia habari za Mwl. Ndossi enzi hizo old 80s, Oooh RIP Mwalimu!! Pale Kibasila PS tulikuwa waalimu maarufu Mwl Chale, Mwang"onda na Mwl. Makinda huyu ni Ke, walikuwa wantembeza sana mboko hawa siku wakiwa zamu, daah imekuwa historia sasa!!!
Tafadhali jamani mwenye historia ya maisha ya Huyu mtu anayejiita mtume Mwamposa naomba atuwekee hapa, maana anazidi kuwapiku wenzake wakina Lusekelo, Malisa, Kakobe, Mwingira wengine wa type hiyo hapo Tanzania.
Huyo anayemwajiri mtangazaji mwenye tatizo hilo naye pia hajielewi!!
nikisikia tu mtu wa hivyo na puuza hata anachokitangaza!!!!!!!!!!!
Eti BANDALI.............KLENI...........BAHALINI.......
Wewe ni Mgeni Kwenye Utumishi wa umma, kwa taarifa yako Afisa Elimu Wilaya ni kiongozi mkubwa hasa ukizingatia idadi ya watu anaowaongoza kuanzia waalimu hadi wanafunzi wa chekechea, msingi na Sekondari. Sikuelewi unaposema eti ni MTU Mdogo sana. Acha dharau wewe JUHA!!
RIP YESSE!! Mimi siyo...
Nimekuwa nikifuatilia uandishi wa Waandishi mbalimbali wa Habari na watumiaji wa mitandao hii ya kijamii. Kumekuwa na uandishi mbovu wa lugha ya kiswahili lakini Baraza lipo kimya bila kukemea upotoshwaji wa lugha yetu adhimu ya kiswahili. Mfano wa uandishi mbovu unaokera Ui ule wa neno siyo...
Mkwawa ilikuwa ni A-Level/Chuo inayofundisha Sub Combination kama vile PM, CM, CB nk. Walikuwa wanasoma na somo lingine lililokuwa linaitwa Education, halafu wanafanya mtihani wa form six kisha wanaongeza mwaka mmoja wanasoma Education Methodology halafu wanatoka Na Diploma ya Ualimu,ukifaulu...
Mkwawa ilikuwa ni A-Level/Chuo inayofundisha Sub Combination kama vile PM, CM, CB nk. Walikuwa wanasoma na somo lingine lililokuwa linaitwa Education, halafu wanafanya mtihani wa form six kisha wanaongeza mwaka mmoja wanasoma Education Methodology halafu wanatoka Na Diploma ya Ualimu,ukifaulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.