Habari wadau,mtoto wangu kapata History B+ Geography B+ Language B+ na g/studies D,anaweza kupata Law UDSM?au course gani nzuri anaweza kupata kwa UDSM?Au chuo gani kingine kizuri kwa Law hapa TZ?
Alifanyaje?mimi simjui ila napenda kujua sababu ya kifo chake,inaelekea alikuwa ni mtu mwema na maarufu sana, naomba anayejua alivyokufa anijuze,tunajifunza kwa kuona na kusikia.
Sababu nyingine zinazotufanya tutumie ATM machine za benki nyingine ni kwamba, crdb wana machine chache na mara nyingi hazina hela au mbovu, mfano shekilango road crdb wana mashine 1, wakati nbc wama nne barabara moja.Crdb boresheni na ongezeni huduma kwa wateja.
kuvunja balaza kutaipa heshima kidogo CCM,na itakuwa fundisho kwa mawaziri watakaobaki na wapya.Watanzania tusikubali kufanywa mambumbumbu, wasipolivunja Balaza au kuwawajibisha mawaziri wenye tuhuma, 2015 tuwawajibishe CCM kwa kura zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.