WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ametengua nafasi ya Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo, Henry Lihaya na sasa nafasi hiyo itashikiliwa na Mohamed Kiganja.
Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za BMT katika kikao kilichohudhuriwa pia na Lihaya pamoja...
Wakuu heshima yenu. Tafadhali naomba kama kuna mtu anajua mtu anayeuza Mitsubish Canter tani 2 anijulishe. Ni zile zinazotumiwa sana na wenye site za kufyatulia matofali, wauzaji wa maji nk. Na mara nyingi ni za rangi ya Blue
Wakuu naomba mnijulishe mahala ninapoweza kununua kwa bei nzuri projector kwa ajili ya kuonyeshea mpira. Pia naomba ushauri kwa wale wenye uzoefu, ni Projector gani nzuri kwa picha pamoja na bei ya kuridhisha?
Wakuu linatafutwa eneo linalopakana na barabara ya Morogoro eneo la Kibaha lenye ukubwa wa heka 3 au zaidi kwa ajili ya kufungua yard. Tafadhali kama kuna mtu anafahamu upatikanaji wake atupie details au mawasiliano hapa.
Natanguliza Shukrani
Wana JF tunaishukuru serikali kwa ujenzi wa barabara hii. Ila kuna kitu nashindwa kukielewa.
Sehemu ya daraja la kimara imekuwa ikiwatesa sana wakazi wa kimara mbezi kibamba na waendao mkoani kutokana na njia kubanwa sana hivyo kutengeneza foleni isiyokuwa ya lazima asubuhi na jioni. Hali hii...
Wakuu ninayo Ipad2 3G ,inatumia line ya Airtel Microsim card. Microsim yenyewe ni simcard ya kawaida ambayo imekatwa kuipunguza,,kwani wao hawana sim card hizi ndogo. Tatizo ni kuwa ipad haina function ya simu ili niongeze salio na kununua kifurushi cha internet let say 400MB. Kabla sijaikata na...
Wakuu heshima kwenu. Tunaomba mtujulishe ni wapi mtu anaweza kupata apple IPHONE kwa bei nzuri hapa bongo, new/used? 2G / 3G. Pia mliokwisha kuzitumia tupeni wasifu wake hasa kuhusu uwezo wa betri yake na speed yake katika kufungua kurasa za mitandao
Waheshimiwa naombeni busara zenu na msaada kwani najua hapa ni kitovu cha mambo yote. Kuna mshkaji wangu ameniletea Blackberry kutoka USA iliyokuwa katika contract ya T-Mobile aina ya Blackberry 8320. Naomba ushauri ni wapi niifungulie hapa bongo.
Hint inatakiwa kufunguliwa kwa kutumia...
Wageni watatu walikwenda kupanga chumba kwenye hoteli kilichokuwa kikipangishwa kwa Tshs 30,000. Kila mmoja alichanga shs 10,000 na kumkabidhi mhudumu. Bosi w ile hoteli alipoletewa zile pesa alimweleza mhudumu kuwa chumba kile bei yake ilikuwa ni Tshs 25,000 na sio 30,000, hivyo akamwamuru yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.