Hahahaha.... Nimetania tu. Tutapata tu wote. Tarehe 14 february watatangaza na tarehe 1 March tupo mzigoni wote. Hakuna cha sayansi wala hechi kunani, wote tutakuwa mzigoni. We just stay tuned!!
Mtoto wa kiume, mniache nijitume Kama matunda yangu yapo acha niyachume Nilishapita msoto tangu nilipokuwa shule Kama naungua na moto vile......
Kama ni kweli R.I.P mtoto wa mafinga dole south.
Wadau ninaaply mkopo baada ya heslb kutoa chance ya wiki mbili za kufanya hivyo.
Mimi nilimaliz form four mwaka jana na nimechaguliwa special program ya Udom. Lakini kwenye kujaza details kuna sehemu ambayo ni mandatory status ina option tatu ambazo ni form six, diploma au equivalent.
Mimi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.