Dear friends, In consideration of the fact that the the taking control of Africas Educational Future Conference to be held on 16th to 18th November 2011 at the St. Augustine University of Tanzania, in Mwanza, Tanzania, is inherently aiming at bringing stakeholders of education from all...
Wanafunzi wa Elimu ya juu sasa wanauwanja mpana wa kutoa na kuhabarishana taarifa mbalimbali zinazotokea ndani na nje ya chuo ambazo zinahusu maisha mazima ya elimu ya juu nchini.
tzcampusvibe | Life of University Students ni jukwaa jipya la wasomi kuweza kutoa habari za kinachoendelea chuoni...
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu imeieleza kamati ya bunge ya hesabu za serikali (POAC) kwamba imeshindwa kuwapa hela ya mikopo wanafunzi wengi walioomba kutokana na serikali kutowa pesa walizoomba na kupewa pesa kidogo kuendeshea shughuli za Bodi hiyo ambapo kwa sasa inakabiliwa na uhaba wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.