Habari zenu wana jamvi! Napenda kuwatangazia kuwa nauza mafuta ya alizeti kwenye ujazo wa lita 20 na lita 5. Mafuta haya yamechujwa vizuri kabisa na ni salama. Bei ya mafuta kwa ujazo wa lita 20 ni 90000/= na ujazo wa lita 5 ni 26000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu zangu?
Ninaleta kwenu hoja hii, nimekuwa nikijiuliza je, upo uhusiano wowote kwa mtu mwenye uwezo wa kuzungumza lugha zaidi ya moja kwa ufasaha na uwezo wa kiakili, yaani kwamba anadhihirisha anauwezo mkubwa wa kiakili?
Habari za mda huu wakuu, kama kichwa cha uzi kinavyojielezea hapo ninanunua mayai ya kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Habari zenu wanajamvi, nimatumaini yangu mnaendelea vizuri. Niingie moja kwa moja kwenye mada, nimetafakari nikaona si vibaya nikaongezea ujuzi wa umeme wa magari. Lakini ninatamani kupata a, b, c kuhusu ujuzi huu ambao kwa zama hizi unaweza kuwa ni ujuzi muhimu kuwa nao hasa ukizingatia...
Habari zenu wakuu,
Ningependa kufahamu kama kuna mtu anafahamu taasisi ya kiserikali au kampuni binafsi inayokodisha screen house kama unafahamu naomba unijulishe.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Habarini za jioni wanajukwaa, ninahitaji kufahamu ulipo ubalozi wa Australia hapa Tanzania. Nimeambiwa kule ulipokuwepo mara ya kwanza(Masaki) umehamishwa sasa ningependa kufahamu umehamushiwa wapi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Habarini wakuu, kwa anayetaka kujengewa mtambo wa biogesi anaweza kuni-pm. Bado jamii kubwa ya watanzania wanaendelea kutumia mkaa na wengine kuni, ingawaje utakuta ni wafugaji ambapo wangeliweza kutumia kinyesi cha ng'ombe au nguruwe kwa ajili ya kuzalishia gesi ya kupikia.
Karibuni sana kwa...
Kama umekuwa na shauku ya kufuga lakini unakwama katika utengenezaji wa banda zuri na LA kisasa kwa ajili ya mifugo yako.
Basi usiwaze sana katika hilo unaweza nitafuta nikakusaidia, kukusanifia banda utakalo lipenda kulingana na idadi ya mifugo utakayopenda kuifuga pamoja na kukujengea pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.