Kama ndo hivyo watumishi wote ambao wapo chini ya Tamisemi waombe kuendana na Wilaya zao wanazozifahamu. Wasipangiwe mikoa au halmashauri ambazo hawana uzoefu nazo.
Nakumbuka 2020 nimekamatwa pale CCM bar- Michenzani kisa nakula kipindi cha Corona. Niliteswa sana na Askari Police wa Kizanzibar. Wakinena maneno ya Wewe Mbara acha kuzingua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.