Kuna habari zimeenea kwenye mitandao ya kijamii toka juzi kuwa Waziri wa Kazi na ajira Jenista Mhagama na Katibu Mkuu wa hiyo wizara Eric Shitindi wametoa agizo kwa shirika la NSSF wasimwalike aliyekuwa DG wa shirika hilo Dr Ramadhani Dau kwenye sherehe za ufunguzi wa Daraja hilo wiki Ijayo...
UKURUGENZI MKUU NSSF 1997 – 2016
HIVI DOKTA DAU HANA JEMA HATA MOJA?
Kabla ya kuanza kuandika chochote kuhusu maudhui yenye anuani hiyo hapo juu, niwakumbushe wasomaji wangu ‘kisa’ kimoja nilichohadithiwa na rafiki yangu ambaye alikishuhudia yeye mwenyewe katika nchi moja (sipendi kwa leo...
+
+
+
+
+
+
+
Tazama emails za UFISADI WA MCC na akina SYMBION hapa:
After An Email To Hillary, Company Directed By Ambassador Joe Wilson Was Awarded Africa Contract
Hii forum ambayo members wake wanajisifia kwa kujiita ma Great Thinkers inatia aibu sana
Hivi nchi ina miaka zaidi 50 na ina kila raia milioni 50 na ina resources za kila namna na vyanzo kem kem vya pesa kulalamika kutopewa msaada wa MCC ni upuuzi na ujinga usio na kifani
Hawa Wamarekani...
Do you seriously think kuwa hiyo statement hajaifanyia editing kama sio kuiandika mwenyewe?
Kama kweli wanataka haki itendeke why wamtetee Sefue na wengine waachwe?
Nilitegemea kuwa wangekuja na statement kuwa kama kuna mwenye ushaidi aende kwenye vyombo vya sheria/dola
In otherwords nilikuwa upande wa Ikulu mpaka niliposoma hiyo statement yao.
Ki uhalisia burden of proof ilikuwa upande wa gazeti la Dira, wataalam wa sheria wanamsemo wao wa kilatin...
Ikulu imetoa press release kumtetea Katibu Mkuu ombeni sefue ambaye anakabiliwa na tuhuma za rushwa na kampuni ya ujenzi ya kichina ya CRJE
Cha ajabu ni kuwa utetezi wao umekuwa one sided. Iweje wao wanamtetea Ombeni sefue lakini wengine haijawatetea?
Ina maana kuwa kwenye hizi tuhuma za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.