Pamoja na serikali kutangaza kwenye tovuti hii PMORALG | Prime Minister's Office - Regional Administration and Local Government. kuwa watatangaza orodha ya majina ya waalimu wapya 2014 ifikapo tarehe 15 march lakini naona tarehe hii inapita taratibu tena kimya kimya bila chochote. CCM...
Wadau naomba mnipe ufafanuzi kuhusu taratibu za UDSM wanapotoa nafasi za kazi maana safari hii walitoa mwezi June alafu mpaka sasa wamepiga kimya. Kwa kweli siwaelewi taratibu zao naombeni msaada wenu wana JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.