hii habari ya kwanza kwamba wana ccm wasichague viongozi wenye kashfa haikuonyeshwa kwa sababu za kiufundi napata mashaka kwa kua kulikua na muda wa kuiandaa ukiziingatia tbc walikua live,hakuna mkono wa mtu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.