Bado anapumulia mashini. Malipo ni hapa hapa duniani. Ukatili aliowafanyia Wapalestina katika kambi za Shatila ulimwengu hautasahau.
Una uhakika na unachosema?
Mkuu unadhani huyu mwamba yupo wapi? Waisrael walimshughulikia baada ya kusitisha ujenzi wa makazi ya walowezi kwenye eneo la Wapalestina.
Una uhakika na unachosema?
Huyo ni jembe kule israel