Naomba kuongezea kuwa, maradhi yangu mara daktari moja anaona mara daktari wapili hayaoni. Na ujerumani kwasifika kwa matibabu, lakini wamekuwa very confused!!!
Mimi miaka tatu nauguwa wala sijafika kwa mwalimu yeyote anisomee Rukiya. Lakini nilioteshwa kuwa nitasafiri tanzania kwa mwalimu...
Shukran kwa majibu yenu.
Ila wengine wanaruka kuandika kabla kusoma maneno yangu vizuri, ndiyo majibu mengine naona hayaeleweki.
Kwanza sijasema nataka mganga kabisa , nilitaka mwalimu kama vile sheikh wa msikitini aniombeye na kisomo cha Rukiya.
Ndiyo nilikuwa naulizia mwalimu mzuri ambaye...
Assallamu Aleikum!
Nimekuwa na bwanangu miaka 13 bila shida na watoto wawili.
Mara si mara, tulihamia mombasa na bwanangu kapata msichana wa kikamba.
Nikapata mimba na huyo msichana kasema nitaona kama utazaa.
Nilizaa mtoto akafariki. Kisha bwana kanifukuza na watoto, na isitoshe nikaambiwa...
Assallamu Aleikum!
Nimekuwa na bwanangu miaka 13 bila shida na watoto wawili.
Mara si mara, tulihamia mombasa na bwanangu kapata msichana wa kikamba.
Nikapata mimba na huyo msichana kasema nitaona kama utazaa.
Nilizaa mtoto akafariki. Kisha bwana kanifukuza na watoto, na isitoshe nikaambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.